Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,552
Mkuu Odemwinge ni quality kushinda Drogba, Drogba ni box man na an nguvu ila ameanza kukaa kwenye namba sio ya 30, kwa upande wa Ode yeye ni sawa na Anelka, anaweza kucheza right. left ama lone striker, japo sio jibaba lakini ana nguvu, anafunga mguu wa kulia, kushoto hata kwa kichwa, na anatumia akili sana, pia ana uwezo mkubwa wa kuzuia mpira wanaposhambulia.
Duh yani weye ushamuona Anelka mali? Walahi weye kipofu!