Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
Nimeona kazi ya Fabianski..lolumeona uzembe wa beki nilikuwa nazungumzia.
Nimeona kazi ya Fabianski..lolumeona uzembe wa beki nilikuwa nazungumzia.
lool mtu ndio anaitumia chance yake hapo kuonesha kipaji chake kweli wenger babysitter.Nimeona kazi ya Fabianski..lol
Mechi naskia hakuna marejeo..inabidi ishe leo.lool mtu ndio anaitumia chance yake hapo kuonesha kipaji chake kweli wenger babysitter.
yeah wamekata mechi za marudio zina jaza kiwingu kwenye schedule.Mechi naskia hakuna marejeo..inabidi ishe leo.
I am enjoying the football, Arsenal wanaplace sana!
Wamezawadiwa goli.
Wamezawadiwa goli.
dah, vikombe vya mbuzi hivi game imenipita bila kujua.
Nani kashinda leo?