aluta cont.
wachezaji walikuwa legelege sana ........
adui wa timu ni mwenye timu kroenke........alitoa condition ya kutoa pesa za usajiri iwapo timu itaingia UCL kwa kuwa anajua wazi kuwa hana huo mpango wa kutoa hilo fungu.......matokeo yake katoa mlungula kwa wachezaji wapoteze ili aendeleze tamaduni zake hahahahah wachezaji wanadondoka kama wana vifafa,yaani wanashindwa kabisa kuelewa thamani ya fainali,hawana uchu kabisa wa mataji...wanacheza fainali kama bonanza la simba na sevilla
Kroenke_out