Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii timu hamna kitu,waliimba nyimbo za mapambio kabla hata ya shughuli yenyewe
 
Tunawashukuru....
IMG_20190529_235600.jpeg
 
Wanangu wa Arsenal, what ever it takes im still proud, kwani shingapi bwana??.Hii timu yetu hata tushuke daraja tumeipenda wenyewe.
 
Aaron kukaa kimnya mashabiki wenzako tunaweza kuchangisha rambirambi asije kutokea mtu akatu mpesa jitokeze tu utuambie hongera ze buluzi kisha usepe kwani shs ngapi
 
aluta cont.

wachezaji walikuwa legelege sana ........

adui wa timu ni mwenye timu kroenke........alitoa condition ya kutoa pesa za usajiri iwapo timu itaingia UCL kwa kuwa anajua wazi kuwa hana huo mpango wa kutoa hilo fungu.......matokeo yake katoa mlungula kwa wachezaji wapoteze ili aendeleze tamaduni zake hahahahah wachezaji wanadondoka kama wana vifafa,yaani wanashindwa kabisa kuelewa thamani ya fainali,hawana uchu kabisa wa mataji...wanacheza fainali kama bonanza la simba na sevilla


Kroenke_out
 
Back
Top Bottom