Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Wanaume wameshafika muda mrefu wana kusubiri wewe tuMay 29 njoo utambe humu ,nitaamini ww mwanaume
Wanaume wameshafika muda mrefu wana kusubiri wewe tuMay 29 njoo utambe humu ,nitaamini ww mwanaume
Nilikwambia mapema kwenye uzi wa Chelsea, Huna timu ya kumfunga Chelsea wewe ukaniona kiazi sasa Tutaona Mimi na wewe nani anatoka kapa msimu huuPole ya nini mkuu ikiwa tuna chance kubwa ya kubeba Europa?
Una litimu la hovyo hovyo tu kazi kujitoa ufahamu tu Liverpool tumepiga kazi misimu miwili mfululizo hatujabeba kitu ujerumani ubebe wewe mwenye timu kama kikundi cha wauza matikiti wa Yombo Buza.Wewe unapayuka huku,
Man city kashinda huko 1-0
Kesho messi anawaweka TENA
30yrs loading.....
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Inasikitisha.Aliyekwambia arsenal anategemea hiyo option nan
Endelea kujifariji
Futuhi utaenda peke yako
Mkuu popote ulipo jitokeze useme chochote walau nafsi zetu ziridhike. Kukaa kimya unazidi kutupa wasiwasi juu ya usalama wako.Pole ya nini mkuu ikiwa tuna chance kubwa ya kubeba Europa?
Mmekuja mmeona wenyewe.Sasa kipigo cha Barca ugenini kiwe fundisho kwenu. Lolote linaweza tokea Spain. Nawaambia hivi msilete maneno mengi na ule utoto wenu pigeni mpira tunawataka fainali tuwaonyeshe kabumbu.
Nakazia zaidi wakuu. Wakati ni sasa bado hamjachelewa.Hahaa.. Kuichezea na kuishabikia Arsenal ni kukosa option ya maisha. Karibu kwetu ufurahie maisha mkuu. Hautanung'unika hivi na kujikondea bure.
Hiyo dawa bado inachemka tu. Angalia isiungulie tafadhali.Wewe jamaa unapenda kuja kuzingua ,haya subiri dawa yenu inachemka
Jamaa anahitaji uangalizi wa hali ya juu sana vinginevyo anaweza kujitundika na kambaMkuu popote ulipo jitokeze useme chochote walau nafsi zetu ziridhike. Kukaa kimya unazidi kutupa wasiwasi juu ya usalama wako.
Tafadhali jitokeze mkuu.
Ww sio mtu mzuri.Mkuu AROON alikuwa anasema timu ikifuzu UCL Budget ya usajili itakuwa £ 100 ml nadhani sasa itakuwa imebakia £ 7 ml
Arsenal tuna gundu Ulaya.. Wiki iliyopita niliota tumefungwa goli 6,ndoto inaweza kutimia. Na wiki itazidi kuwa mbaya Sababu Spurs watawafunga Liverpool 2-1.
Ngoja tusubiri taarifa ya habari ya ITV JIJI LETU saa 18:00 jioni tunaweza kumuona wakimtangaza amepotea.Huyu - Aaroon ajajinyonga kwel ?