Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

#coyg
_20190531_213029.JPG
 
Niungane na wewe tatizo siyo wachezaji tatizo ni kocha hana uwezo kwa wenga tumecheza na chasea Mara mbili fa cup zote arsenal kashinda kwa wachezaji hawa hawa wa mia mbili tukubari Mwalimu hayupo.
Hawa wachezaji wenu wa paund milion 20 ndo wanaicost hii timu yetu. Wenger ndo alijua kudeal nao sio huyu Unai anaruka ruka tu mpaka sasa hana first XI ..
 
Hahahhahh

Poleni wakuu lakini tatizo ni wachezaji wenu ambao huwa wanakamia wakiwa Emirates tu

Wachezaki wenu walikuwa wanacheza utadhani sio fainali bwana hahahhaha
 
RIP Reyes
Ila dah huyu jamaa ananikumbusha unbeaten ile Arsenal ya Formula One Reyes alikuwa anawakimbiza,yaani hata kama hujaangalia gemu ukifika unauliza "hivi Leo tumeshinda ngapi", yaani full uhakika,ila sasa hivi tupo hovyo .

Rest in paradise Reyes.
 
Back
Top Bottom