Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Lacazette again
Umeona alivyoingia, na uwanja ukainamaTorreira in
Sub gan ya kijingaSubstitutions za kijinga. Arsenal hatutashinda leo... FT 2-2
Hongereni majirani naona mmetanguliza mguu mmoja ndani.












Ngoja tukakomae darajani. Kazeni Spain 2-0 inawezekana jamani.
Hongereni pia kupata sale away.
Hamna kitu, wale wana mpira lain sana, bora frankfurtNgoja tukakomae darajani. Kazeni Spain 2-0 inawezekana jamani.
Hamna kitu, wale wana mpira lain sana, bora frankfurt
Wapi nimekejeri,?Tatizo huwa unakejeli kwanza unasahau huu ni mpira na lolote linatokea.
na lazima iwe Chelsea tuBora fainal.tucheze na Chelsea ,sio hawa wajeruman, wana mpira kama WA Napoli,
Pamoja na yote aliyosema bado sioni kucheza fainali na chelsea ni afadhali.na lazima iwe Chelsea tu