eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Umecheza na Chelsea FA cup mara moja tu.Niungane na wewe tatizo siyo wachezaji tatizo ni kocha hana uwezo kwa wenga tumecheza na chasea Mara mbili fa cup zote arsenal kashinda kwa wachezaji hawa hawa wa mia mbili tukubari Mwalimu hayupo.
Arsenal tunakosea wapi sisi yaani wenzetu wanafurahia makombe Chelsea Liverpool Manchester city sisi kila siku kilio tu dah haya maisha ya ushabiki haya
Nadhan sasa umeona tofauti ya ndoto na uhalisiaArsenal tuna gundu Ulaya.. Wiki iliyopita niliota tumefungwa goli 6,ndoto inaweza kutimia. Na wiki itazidi kuwa mbaya Sababu Spurs watawafunga Liverpool 2-1.
Arsenal na nini chanzo cha Anguko Lao!
I think Kroenke kama ni sehemu ya kulaumiwa ni yeye kutofanya ruthless decision.
Financially wise number zinaonesha Arsenal wako wanatumia hela nyingi sana au wametumia hela nyingi vibaya kwa miaka ya hivi karibuni
As we stands
1) Arsenal inashika nafasi ya 3 kwenye ligi ya uingereza kulipa mishahara mikubwa *(we are behind Manchester Clubs)*
2. Arsenal wage bill is bigger than Tottenham, Real Madrid, Liverpool, Chelsea, Juventus, ATM, inter Milan, Dortmund, Bayern Munich
3. Arsenal has spent big kuanzia 2013 mpaka leo. Takwimu zinaonesha Kroenke kama mmiliki wa timu faida yote anayoipata kwa Arsenal, haichukui.
Yote inarudi kwenye timu. Kuanzia mwaka 2014 mpaka leo Arsenal under KSC management imefanya haya mambo
1) imejengwa academy mpya inaitwa Hale End (the second expensive in England)
2. Arsenal under KSE imenunua kampuni ya stats inaitwa StatDNA kwa ajili ya kusaidia usajili.
3. Arsenal imesajili specialist wawili wa Afya, Mmoja kutoka Australia na mwingine kutoka Skyteam. Hawakuja peke yao, walikuja na timu zao-hii yote ni kupunguza idadi ya majeraha
4. Arsenal under KSE imewekeza kwenye data. Msimu huu wakati unaanza walimnunua Project manager wa game maarufu ya Candy crush.
5. Arsenal under KSE wamemnunua scouts kutoka Dortmund, kutoka Leceister, wamemnunua Raul kutoka Barcelona. All these are paid big money
6. Arsenal under KSE walilipa fidia ya mikataba ya Wenger na jopo lake la ufundi baada ya kuvunja mikataba yao. Inasemekana wamewalipa jumla ya paundi milion 20 na zaidi.
7. Arsenal under KSE have bought players like Ox, Santi, ozil, podolski, chambers, mustafi, Xhaka, ozil, sanches, mikhitryan, welbeck, Aubamayeng, Lacazette.
*Also hiki kipindi kimeruhusu wachezaji kama Ramsey, wilshere, welbeck, santi kuondoka bure*
-90% ya hawa wachezaji wameondoka bure, it means return on investment haijaonekana.
-Mikataba mibovu na mikubwa kwa wachezaji kama Ozil na Mikhitryan haijakaa vizuri kibiashara.
*Naomba nisieleweke vibaya*
In no way namtetea Kroenke hapa. But nafikiri kwa mtu ambae hana mahaba yyt na timu na amekaa kibiashara ni ngumu yeye kutoa hel yake mfukoni kwenye mazingira kama haya because inaonekana klabu inaoperate nje ya expectation za kibiashara, pamoja na kwamba inaingiza faida kwa njia nyingine.
Kroenke na Josh ni wazi kabisa hawajihusishi na Arsenal. Ni kweli kabisa hawana habari na hii Arsenal.
*Ndo maana wameajiri wakurugenzi wawili. Raul na Vinai*
Hawa ndo watashughulikia operation zote za timu. Hawa ndo watakoajiri makocha, watakaojiri Technical and Sporting director.
Kroenke na Josh wanajua kabisa mambo ya mpira hawajui, but a guy like Raul has been in football business for 30 years tena na klabu kama Barcelona.
Kroenke ameeka imani yake kwa huyu mtu, mimi nafikiri hapa ndo penye stake.
Hata Shekhe Monsour wa Mancity amekabidhi timu kwa wale majembe kutoka Barcelona. Then kuna representative mmoja huwa yupo nao mara nyingi kama mnamuona.
I can't blame kroenke kwa 100%. He didnt appoint Unai, he doesn't know anything about Unai
Yeye anaangalia kama balance sheet zake ziko sawa.
Kwa vitu vyote hivi, i think Unai na jopo lake la ufundi from Raul, Vinai has to be responsible.
Nimechoka kuandika aiseeee
But this is more complex than we think it is.
Kroenke na Josh wanataka Arsenal iendeshwe kisasa.
Hapo nyuma kuna uozo mwingi sana umefanyika under Ivan Gazidis
Sasa saivi ndo inatutafuna.
Ndo maana wamekabidhi timu kwa Raul na Vinai.
Hawa ndo inabidi tukate vichwa vyao. Inaonekana Kwa sababu ya maamuzi mabovu yaliyofanyika huko nyuma sasa hivi tunapata tabu sana.
Hasa kwenye swala la fedha.
Arsenal na nini chanzo cha Anguko Lao!
I think Kroenke kama ni sehemu ya kulaumiwa ni yeye kutofanya ruthless decision.
Financially wise number zinaonesha Arsenal wako wanatumia hela nyingi sana au wametumia hela nyingi vibaya kwa miaka ya hivi karibuni
As we stands
1) Arsenal inashika nafasi ya 3 kwenye ligi ya uingereza kulipa mishahara mikubwa *(we are behind Manchester Clubs)*
2. Arsenal wage bill is bigger than Tottenham, Real Madrid, Liverpool, Chelsea, Juventus, ATM, inter Milan, Dortmund, Bayern Munich
3. Arsenal has spent big kuanzia 2013 mpaka leo. Takwimu zinaonesha Kroenke kama mmiliki wa timu faida yote anayoipata kwa Arsenal, haichukui.
Yote inarudi kwenye timu. Kuanzia mwaka 2014 mpaka leo Arsenal under KSC management imefanya haya mambo
1) imejengwa academy mpya inaitwa Hale End (the second expensive in England)
2. Arsenal under KSE imenunua kampuni ya stats inaitwa StatDNA kwa ajili ya kusaidia usajili.
3. Arsenal imesajili specialist wawili wa Afya, Mmoja kutoka Australia na mwingine kutoka Skyteam. Hawakuja peke yao, walikuja na timu zao-hii yote ni kupunguza idadi ya majeraha
4. Arsenal under KSE imewekeza kwenye data. Msimu huu wakati unaanza walimnunua Project manager wa game maarufu ya Candy crush.
5. Arsenal under KSE wamemnunua scouts kutoka Dortmund, kutoka Leceister, wamemnunua Raul kutoka Barcelona. All these are paid big money
6. Arsenal under KSE walilipa fidia ya mikataba ya Wenger na jopo lake la ufundi baada ya kuvunja mikataba yao. Inasemekana wamewalipa jumla ya paundi milion 20 na zaidi.
7. Arsenal under KSE have bought players like Ox, Santi, ozil, podolski, chambers, mustafi, Xhaka, ozil, sanches, mikhitryan, welbeck, Aubamayeng, Lacazette.
*Also hiki kipindi kimeruhusu wachezaji kama Ramsey, wilshere, welbeck, santi kuondoka bure*
-90% ya hawa wachezaji wameondoka bure, it means return on investment haijaonekana.
-Mikataba mibovu na mikubwa kwa wachezaji kama Ozil na Mikhitryan haijakaa vizuri kibiashara.
*Naomba nisieleweke vibaya*
In no way namtetea Kroenke hapa. But nafikiri kwa mtu ambae hana mahaba yyt na timu na amekaa kibiashara ni ngumu yeye kutoa hel yake mfukoni kwenye mazingira kama haya because inaonekana klabu inaoperate nje ya expectation za kibiashara, pamoja na kwamba inaingiza faida kwa njia nyingine.
Kroenke na Josh ni wazi kabisa hawajihusishi na Arsenal. Ni kweli kabisa hawana habari na hii Arsenal.
*Ndo maana wameajiri wakurugenzi wawili. Raul na Vinai*
Hawa ndo watashughulikia operation zote za timu. Hawa ndo watakoajiri makocha, watakaojiri Technical and Sporting director.
Kroenke na Josh wanajua kabisa mambo ya mpira hawajui, but a guy like Raul has been in football business for 30 years tena na klabu kama Barcelona.
Kroenke ameeka imani yake kwa huyu mtu, mimi nafikiri hapa ndo penye stake.
Hata Shekhe Monsour wa Mancity amekabidhi timu kwa wale majembe kutoka Barcelona. Then kuna representative mmoja huwa yupo nao mara nyingi kama mnamuona.
I can't blame kroenke kwa 100%. He didnt appoint Unai, he doesn't know anything about Unai
Yeye anaangalia kama balance sheet zake ziko sawa.
Kwa vitu vyote hivi, i think Unai na jopo lake la ufundi from Raul, Vinai has to be responsible.
Nimechoka kuandika aiseeee
But this is more complex than we think it is.
Kroenke na Josh wanataka Arsenal iendeshwe kisasa.
Hapo nyuma kuna uozo mwingi sana umefanyika under Ivan Gazidis
Sasa saivi ndo inatutafuna.
Ndo maana wamekabidhi timu kwa Raul na Vinai.
Hawa ndo inabidi tukate vichwa vyao. Inaonekana Kwa sababu ya maamuzi mabovu yaliyofanyika huko nyuma sasa hivi tunapata tabu sana.
Hasa kwenye swala la fedha.
Umecheza na Chelsea FA cup mara moja tu.
Asante mkuu....sikujua baadhi ya vituArsenal na nini chanzo cha Anguko Lao!
I think Kroenke kama ni sehemu ya kulaumiwa ni yeye kutofanya ruthless decision.
Financially wise number zinaonesha Arsenal wako wanatumia hela nyingi sana au wametumia hela nyingi vibaya kwa miaka ya hivi karibuni
As we stands
1) Arsenal inashika nafasi ya 3 kwenye ligi ya uingereza kulipa mishahara mikubwa *(we are behind Manchester Clubs)*
2. Arsenal wage bill is bigger than Tottenham, Real Madrid, Liverpool, Chelsea, Juventus, ATM, inter Milan, Dortmund, Bayern Munich
3. Arsenal has spent big kuanzia 2013 mpaka leo. Takwimu zinaonesha Kroenke kama mmiliki wa timu faida yote anayoipata kwa Arsenal, haichukui.
Yote inarudi kwenye timu. Kuanzia mwaka 2014 mpaka leo Arsenal under KSC management imefanya haya mambo
1) imejengwa academy mpya inaitwa Hale End (the second expensive in England)
2. Arsenal under KSE imenunua kampuni ya stats inaitwa StatDNA kwa ajili ya kusaidia usajili.
3. Arsenal imesajili specialist wawili wa Afya, Mmoja kutoka Australia na mwingine kutoka Skyteam. Hawakuja peke yao, walikuja na timu zao-hii yote ni kupunguza idadi ya majeraha
4. Arsenal under KSE imewekeza kwenye data. Msimu huu wakati unaanza walimnunua Project manager wa game maarufu ya Candy crush.
5. Arsenal under KSE wamemnunua scouts kutoka Dortmund, kutoka Leceister, wamemnunua Raul kutoka Barcelona. All these are paid big money
6. Arsenal under KSE walilipa fidia ya mikataba ya Wenger na jopo lake la ufundi baada ya kuvunja mikataba yao. Inasemekana wamewalipa jumla ya paundi milion 20 na zaidi.
7. Arsenal under KSE have bought players like Ox, Santi, ozil, podolski, chambers, mustafi, Xhaka, ozil, sanches, mikhitryan, welbeck, Aubamayeng, Lacazette.
*Also hiki kipindi kimeruhusu wachezaji kama Ramsey, wilshere, welbeck, santi kuondoka bure*
-90% ya hawa wachezaji wameondoka bure, it means return on investment haijaonekana.
-Mikataba mibovu na mikubwa kwa wachezaji kama Ozil na Mikhitryan haijakaa vizuri kibiashara.
*Naomba nisieleweke vibaya*
In no way namtetea Kroenke hapa. But nafikiri kwa mtu ambae hana mahaba yyt na timu na amekaa kibiashara ni ngumu yeye kutoa hel yake mfukoni kwenye mazingira kama haya because inaonekana klabu inaoperate nje ya expectation za kibiashara, pamoja na kwamba inaingiza faida kwa njia nyingine.
Kroenke na Josh ni wazi kabisa hawajihusishi na Arsenal. Ni kweli kabisa hawana habari na hii Arsenal.
*Ndo maana wameajiri wakurugenzi wawili. Raul na Vinai*
Hawa ndo watashughulikia operation zote za timu. Hawa ndo watakoajiri makocha, watakaojiri Technical and Sporting director.
Kroenke na Josh wanajua kabisa mambo ya mpira hawajui, but a guy like Raul has been in football business for 30 years tena na klabu kama Barcelona.
Kroenke ameeka imani yake kwa huyu mtu, mimi nafikiri hapa ndo penye stake.
Hata Shekhe Monsour wa Mancity amekabidhi timu kwa wale majembe kutoka Barcelona. Then kuna representative mmoja huwa yupo nao mara nyingi kama mnamuona.
I can't blame kroenke kwa 100%. He didnt appoint Unai, he doesn't know anything about Unai
Yeye anaangalia kama balance sheet zake ziko sawa.
Kwa vitu vyote hivi, i think Unai na jopo lake la ufundi from Raul, Vinai has to be responsible.
Nimechoka kuandika aiseeee
But this is more complex than we think it is.
Kroenke na Josh wanataka Arsenal iendeshwe kisasa.
Hapo nyuma kuna uozo mwingi sana umefanyika under Ivan Gazidis
Sasa saivi ndo inatutafuna.
Ndo maana wamekabidhi timu kwa Raul na Vinai.
Hawa ndo inabidi tukate vichwa vyao. Inaonekana Kwa sababu ya maamuzi mabovu yaliyofanyika huko nyuma sasa hivi tunapata tabu sana.
Hasa kwenye swala la fedha.
Bila hela tutaendelea kusindikiza wenzetu kuchukua ubingwa na tunapoelekea hata FUTUHI hatutoshiriki.




Arsenal na nini chanzo cha Anguko Lao!
I think Kroenke kama ni sehemu ya kulaumiwa ni yeye kutofanya ruthless decision.
Financially wise number zinaonesha Arsenal wako wanatumia hela nyingi sana au wametumia hela nyingi vibaya kwa miaka ya hivi karibuni
As we stands
1) Arsenal inashika nafasi ya 3 kwenye ligi ya uingereza kulipa mishahara mikubwa *(we are behind Manchester Clubs)*
2. Arsenal wage bill is bigger than Tottenham, Real Madrid, Liverpool, Chelsea, Juventus, ATM, inter Milan, Dortmund, Bayern Munich
3. Arsenal has spent big kuanzia 2013 mpaka leo. Takwimu zinaonesha Kroenke kama mmiliki wa timu faida yote anayoipata kwa Arsenal, haichukui.
Yote inarudi kwenye timu. Kuanzia mwaka 2014 mpaka leo Arsenal under KSC management imefanya haya mambo
1) imejengwa academy mpya inaitwa Hale End (the second expensive in England)
2. Arsenal under KSE imenunua kampuni ya stats inaitwa StatDNA kwa ajili ya kusaidia usajili.
3. Arsenal imesajili specialist wawili wa Afya, Mmoja kutoka Australia na mwingine kutoka Skyteam. Hawakuja peke yao, walikuja na timu zao-hii yote ni kupunguza idadi ya majeraha
4. Arsenal under KSE imewekeza kwenye data. Msimu huu wakati unaanza walimnunua Project manager wa game maarufu ya Candy crush.
5. Arsenal under KSE wamemnunua scouts kutoka Dortmund, kutoka Leceister, wamemnunua Raul kutoka Barcelona. All these are paid big money
6. Arsenal under KSE walilipa fidia ya mikataba ya Wenger na jopo lake la ufundi baada ya kuvunja mikataba yao. Inasemekana wamewalipa jumla ya paundi milion 20 na zaidi.
7. Arsenal under KSE have bought players like Ox, Santi, ozil, podolski, chambers, mustafi, Xhaka, ozil, sanches, mikhitryan, welbeck, Aubamayeng, Lacazette.
*Also hiki kipindi kimeruhusu wachezaji kama Ramsey, wilshere, welbeck, santi kuondoka bure*
-90% ya hawa wachezaji wameondoka bure, it means return on investment haijaonekana.
-Mikataba mibovu na mikubwa kwa wachezaji kama Ozil na Mikhitryan haijakaa vizuri kibiashara.
*Naomba nisieleweke vibaya*
In no way namtetea Kroenke hapa. But nafikiri kwa mtu ambae hana mahaba yyt na timu na amekaa kibiashara ni ngumu yeye kutoa hel yake mfukoni kwenye mazingira kama haya because inaonekana klabu inaoperate nje ya expectation za kibiashara, pamoja na kwamba inaingiza faida kwa njia nyingine.
Kroenke na Josh ni wazi kabisa hawajihusishi na Arsenal. Ni kweli kabisa hawana habari na hii Arsenal.
*Ndo maana wameajiri wakurugenzi wawili. Raul na Vinai*
Hawa ndo watashughulikia operation zote za timu. Hawa ndo watakoajiri makocha, watakaojiri Technical and Sporting director.
Kroenke na Josh wanajua kabisa mambo ya mpira hawajui, but a guy like Raul has been in football business for 30 years tena na klabu kama Barcelona.
Kroenke ameeka imani yake kwa huyu mtu, mimi nafikiri hapa ndo penye stake.
Hata Shekhe Monsour wa Mancity amekabidhi timu kwa wale majembe kutoka Barcelona. Then kuna representative mmoja huwa yupo nao mara nyingi kama mnamuona.
I can't blame kroenke kwa 100%. He didnt appoint Unai, he doesn't know anything about Unai
Yeye anaangalia kama balance sheet zake ziko sawa.
Kwa vitu vyote hivi, i think Unai na jopo lake la ufundi from Raul, Vinai has to be responsible.
Nimechoka kuandika aiseeee
But this is more complex than we think it is.
Kroenke na Josh wanataka Arsenal iendeshwe kisasa.
Hapo nyuma kuna uozo mwingi sana umefanyika under Ivan Gazidis
Sasa saivi ndo inatutafuna.
Ndo maana wamekabidhi timu kwa Raul na Vinai.
Hawa ndo inabidi tukate vichwa vyao. Inaonekana Kwa sababu ya maamuzi mabovu yaliyofanyika huko nyuma sasa hivi tunapata tabu sana.
Hasa kwenye swala la fedha.
Nikumbushe mkuu nitakuwa nmesahau ni msimu upi na upi.?Mara moja nani ka kuambia Mara mbili zote Chelsea anakutana na kichapo.



namshauri amnyake Samatta chap maana ana thamani ya pound mil 12. Akizubaa apo ndo basi tena. 



we mkifungwa ndio unakuja na visababu vyako uchwara, ila kabla ya game wewe ni hodari wa kubinua mdomo kwamba mtashinda, mpira hauchezwi mdomoni, timu yenu ni mbovu mbovu sijapata kuona yani imeozaArsenal na nini chanzo cha Anguko Lao!
I think Kroenke kama ni sehemu ya kulaumiwa ni yeye kutofanya ruthless decision.
Financially wise number zinaonesha Arsenal wako wanatumia hela nyingi sana au wametumia hela nyingi vibaya kwa miaka ya hivi karibuni
As we stands
1) Arsenal inashika nafasi ya 3 kwenye ligi ya uingereza kulipa mishahara mikubwa *(we are behind Manchester Clubs)*
2. Arsenal wage bill is bigger than Tottenham, Real Madrid, Liverpool, Chelsea, Juventus, ATM, inter Milan, Dortmund, Bayern Munich
3. Arsenal has spent big kuanzia 2013 mpaka leo. Takwimu zinaonesha Kroenke kama mmiliki wa timu faida yote anayoipata kwa Arsenal, haichukui.
Yote inarudi kwenye timu. Kuanzia mwaka 2014 mpaka leo Arsenal under KSC management imefanya haya mambo
1) imejengwa academy mpya inaitwa Hale End (the second expensive in England)
2. Arsenal under KSE imenunua kampuni ya stats inaitwa StatDNA kwa ajili ya kusaidia usajili.
3. Arsenal imesajili specialist wawili wa Afya, Mmoja kutoka Australia na mwingine kutoka Skyteam. Hawakuja peke yao, walikuja na timu zao-hii yote ni kupunguza idadi ya majeraha
4. Arsenal under KSE imewekeza kwenye data. Msimu huu wakati unaanza walimnunua Project manager wa game maarufu ya Candy crush.
5. Arsenal under KSE wamemnunua scouts kutoka Dortmund, kutoka Leceister, wamemnunua Raul kutoka Barcelona. All these are paid big money
6. Arsenal under KSE walilipa fidia ya mikataba ya Wenger na jopo lake la ufundi baada ya kuvunja mikataba yao. Inasemekana wamewalipa jumla ya paundi milion 20 na zaidi.
7. Arsenal under KSE have bought players like Ox, Santi, ozil, podolski, chambers, mustafi, Xhaka, ozil, sanches, mikhitryan, welbeck, Aubamayeng, Lacazette.
*Also hiki kipindi kimeruhusu wachezaji kama Ramsey, wilshere, welbeck, santi kuondoka bure*
-90% ya hawa wachezaji wameondoka bure, it means return on investment haijaonekana.
-Mikataba mibovu na mikubwa kwa wachezaji kama Ozil na Mikhitryan haijakaa vizuri kibiashara.
*Naomba nisieleweke vibaya*
In no way namtetea Kroenke hapa. But nafikiri kwa mtu ambae hana mahaba yyt na timu na amekaa kibiashara ni ngumu yeye kutoa hel yake mfukoni kwenye mazingira kama haya because inaonekana klabu inaoperate nje ya expectation za kibiashara, pamoja na kwamba inaingiza faida kwa njia nyingine.
Kroenke na Josh ni wazi kabisa hawajihusishi na Arsenal. Ni kweli kabisa hawana habari na hii Arsenal.
*Ndo maana wameajiri wakurugenzi wawili. Raul na Vinai*
Hawa ndo watashughulikia operation zote za timu. Hawa ndo watakoajiri makocha, watakaojiri Technical and Sporting director.
Kroenke na Josh wanajua kabisa mambo ya mpira hawajui, but a guy like Raul has been in football business for 30 years tena na klabu kama Barcelona.
Kroenke ameeka imani yake kwa huyu mtu, mimi nafikiri hapa ndo penye stake.
Hata Shekhe Monsour wa Mancity amekabidhi timu kwa wale majembe kutoka Barcelona. Then kuna representative mmoja huwa yupo nao mara nyingi kama mnamuona.
I can't blame kroenke kwa 100%. He didnt appoint Unai, he doesn't know anything about Unai
Yeye anaangalia kama balance sheet zake ziko sawa.
Kwa vitu vyote hivi, i think Unai na jopo lake la ufundi from Raul, Vinai has to be responsible.
Nimechoka kuandika aiseeee
But this is more complex than we think it is.
Kroenke na Josh wanataka Arsenal iendeshwe kisasa.
Hapo nyuma kuna uozo mwingi sana umefanyika under Ivan Gazidis
Sasa saivi ndo inatutafuna.
Ndo maana wamekabidhi timu kwa Raul na Vinai.
Hawa ndo inabidi tukate vichwa vyao. Inaonekana Kwa sababu ya maamuzi mabovu yaliyofanyika huko nyuma sasa hivi tunapata tabu sana.
Hasa kwenye swala la fedha.