Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gabriel Martinelli says his goodbyes to ituano. Player set to be announced next month. #AFC #Arsenal
IMG-20190525-WA0001.jpeg
 
(TETESI)
Wawakilishi wa Arsenal wapo France hivi sasa wakijaribu kukamilisha usajili wa wachezaji wawili au mmoja kabla ya fainali Europa League

Ni kati ya Pepe, Saliba, na Alexis Claude-Maurice.

Offer ya kwanza kwa ilikataliwa kwa Claude Maurice, haifaamiki ni kiasi gani cha offer lakini wameenda na offer nyingine ya pili kabla ya vilabu vya Leipzig, Monaco, na PSG havijatuma offer zao kwa Kiungo mshambulianji mdogo

Alexis Claude anaweza kuwa mchezaji mpya wa Arsenal kabla fainali Europa League
 
Jamani mtanisamehe kwa Tetesi ya uyu Dogo bado naendelea kufuatilia kwenye Chanzo Cha uhakika kinasema

Alexis Claude-Maurice alimtembelea jana mchezaji mwenzake (ex team mate) Guendouzi, inahusishwa pia yupo akijiandaa kupimwa afya na Arsenal,lakini Lorient hawapo tayari kumuuza chini ya £12m,na tayari offer ya Arsenal ya £5m ilipigwa chini,

Endelea kutega sikio na macho Mapicha picha bado yanaendelea baada ya Saa Chache
FB_IMG_1558768379322.jpeg
 
#AFC | I've just been speaking to @FcLorient560 about Claude-Maurice....

"He can play in attacking midfield or out wide. He is a very technical player. One of his greatest qualities is his ball control, where he always manages to make great touches."



"It's very hard to take the ball from him. His main progression is the timing of his passes and their choice. He is a rather fast player but he is not the type who will do 30-40 meters with big acceleration."
 
BREAKING: Xavier Amaechi close to agreeing personal terms with Bayern Munich. Player has 1 year left in his contract and is disappointed in his lack of chances this season. Bayern are now set to open negotiations with Arsenal. #AFC #Arsenal
 
Back
Top Bottom