Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuseme ukweli Arsenal was overrated.
Actually asernal wametualibia final walikuwa dhaifu mno oo sis Chelsea uwa tunacheza finals za kibabe
Chelsea vs mancity -carabao
Chelsea vs man u - Fa
Chelsea vs Tottenham -carling
Chelsea vs benifica -Europa
Chelsea vs Bayermunich -UCL
Chelsea vs Man u - UCL
Hiz baadhi ya finals ambazo walipiga mpira wa kibabe japo baadhi walipoteza kwa mbinde sana

Asernal mlikuwa dhaifu sana
 
Leno angeliwa kipindi cha Kwanza michomo ya Emerson miwili ilikuwa imo DOF wa Chelsea kawabeba sana haikuwa na namna ,ilikuwa europa sio FA, FA mnaweza shinda kombe hili ni zito kwenu
Unai naye mshenzi tu. Czech alishaagwa pamoja na Ramsey na tunaambiwa anakwenda Chelsea kuwa mkurugenzi wa michezo. Unamchezesha wa nini????. Hovyo kabisa
[/QUOTE
 
UP GUNNERS....!! LETS GO AND RECLAIM OUR STATUS AS KINGS OF LONDON TONIGHT.
WE'VE BEEN WALKING OVER THESE ARROGANT NEIGHBORS IN THE LAST FIVE FINALS WE MET, SO THE PSYCHOLOGICAL ADVANTAGE IS IN OUR SIDE AND IT'S GONNA PLAY BIG PART TODAY.
ARSENAL 3-1 CHELSEA FT.
ARSENAL IS THE WINNER OF EUROPA LEAGUE 2018/2019.
Mambo yaliendaje mkuu
 
Hii timu pasua kichwa...kocha na wachezaji hawajitambui...pukuja yote.
 
Tofauti ni kwamba arsenal wana kocha mzoefu wa Europa, lakini wana wachezaji wa mchangani Auba, Laccazete..wakati Chelsea wana world classic players na kocha ambaye hadi jana mchana alikuwa hajashinda kombe lolote lile.

Sasa wamekutanishwa WCP na wachezaji wa mchangani unategemea nini apo?
 
Back
Top Bottom