"We don't need Cesc Fabregas, when we have Mesut Özil" - Wenger. Hata mie nilikubaliana na Wenger, b'se if you have Ozil and Ramsay, then you may not need Fabregas.
Lakini ukisoma baadhi ya comments za wadau hapo juu, at least for now zinajaribub kuonyesha kuwa Wenger alikuwa hasemi ukweli. Jana Fabregas alikuwa man of the match. Alicover karibu uwanja wote. Pia alituma special delivery kwa Costa. So far keshefanya special delivery 8 in 9 matches.
Fabrages anacheza vizuri akiwa in his favourate position aka Number 10. Siku hizi huwa namwona aki-tackle pia, kitu ambacho alikuwa hafanyi wakati akiwa Arsenal. Kama ilivyo, Ozil, hana speed. Ila ana macho kama ya Ozil. Anaona mbali and in advance kama Ozil. Mapande yake ni mazuri.
Lakini kwa mara nyingine tena Ozil ameshindwa ku-perform in a grand slam match. Alishindwa kuifungua defence ya Chelsea. Hata hivyo, he is such a skilled player. His way of play is beautiful to watch. Lakini sasa najiuliza what went wrong. Anaonekana kama vile hayuko interested in the game. He doesn't look happy to me.
Mara nyingi, Wenger amekuwa akimpanga in wide positions. Some, including me, nadhani he can contribute more to the team kama akicheza pale kati. Acheze kama creative Number 10 with the freedom to roam wherever he wants. Sidhani kama Fabregas angeweza kucheza anavyocheza sasa kama angepangwa in wide positions.
Kama ilivyokuwa msimu uliopita baadhi yetu tumeanza kum-criticize Ozil. Lakini baadhi ya makocha waliowahi kumkochi Ozil kama Mourinho wanasema "I think it's hard to criticize him, because Özil is Özil. If you were expecting Özil to be super aggressive and to be running miles and miles from side to side and to show great enthusiasm and aggressiveness, this is not Mesut. If you are waiting for somebody where every time he touches the ball, the ball smiles. Every time he makes a pass, the ball goes with the right direction, the right speed, the right intensity, this is Özil.
At the same time, I learned with him because we were together for quite a long time, that he's a very sensitive boy. He needs confidence. He needs trust. He needs to feel that people is with him. When he's on the pitch, every time he touches the ball, the ball goes beautiful. And he'll always finds the right man on the right place. So, sometimes, you don't see him, sometimes he doesn't go to screen many, many times. But when he goes he is a special player."
Kama huyo ndo Ozil ambaye Mourinho anamwongelea, anatakiwa acheze position ipi? Katikati au pembeni? Why are we not seeing the Ozil we used to see?