Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1412519538026_wps_23_Chelsea_FC_v_Arsenal_FC_P.jpg


Prof Wenger pushes Morinyo as the two managers, who have had a long-running feud, fought on the pitch


1412519749161_wps_30_Chelsea_FC_v_Arsenal_FC_P.jpg


The scrap between the two managers certainly raised
the atmosphere at Stamford Bridge


1412518850338_wps_21_LONDON_ENGLAND_OCTOBER_05.jpg


1412518650487_wps_14_Chelsea_FC_v_Arsenal_FC_P.jpg




1412517754543_wps_4_Arsenal_s_Chilean_striker.jpg



1412517728424_wps_1_Arsenal_s_Chilean_striker.jpg




1412527657598_Image_galleryImage_Chelsea_owner_Roman_Abram.JPG




Roma a Bramovick akishangilia baada ya kuona mpunga aliotoa
haukupotea bure ... ..


Refa alikuwa biased na kuwapendelea mafioso, tuko half time tunawasubiri Emiratestutaona kama wataweza kuchomoka tena ..... . ..... . ..COYG.


 

Mkuu usiwe na wasi wasi na Gunners ni one of those matches ambazo refa akishapokea ngawira huna la kufanya. Kama umeona mchezo utaona kabisa fujo na mieleka ambayo Chelsick walijiandaa kufanya.. .. .... . Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mkuu usiwe na wasi wasi na Gunners ni one of those matches ambazo refa akishapokea ngawira huna la kufanya. Kama umeona mchezo utaona kabisa fujo na mieleka ambayo Chelsick walijiandaa kufanya.. .. .... . Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Teh Teh Teh Teh Teh Teh


La mkosaji! Naona unatafuta visababu Vya ajabu ajabu!
 
naomba mwenye ufahamu zaidi anijibu,
1)Tatizo la Arsenal kushindwa kumfunga Chelsea.
2) Suluhisho lake kama lipo.
 
Mkuu usiwe na wasi wasi na Gunners ni one of those matches ambazo refa akishapokea ngawira huna la kufanya. Kama umeona mchezo utaona kabisa fujo na mieleka ambayo Chelsick walijiandaa kufanya.. .. .... . Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hahahaha
 
1412519538026_wps_23_Chelsea_FC_v_Arsenal_FC_P.jpg


Prof Wenger pushes Morinyo as the two managers, who have had a long-running feud, fought on the pitch


1412519749161_wps_30_Chelsea_FC_v_Arsenal_FC_P.jpg


The scrap between the two managers certainly raised
the atmosphere at Stamford Bridge


1412518850338_wps_21_LONDON_ENGLAND_OCTOBER_05.jpg


1412518650487_wps_14_Chelsea_FC_v_Arsenal_FC_P.jpg




1412517754543_wps_4_Arsenal_s_Chilean_striker.jpg



1412517728424_wps_1_Arsenal_s_Chilean_striker.jpg




1412527657598_Image_galleryImage_Chelsea_owner_Roman_Abram.JPG




Roma a Bramovick akishangilia baada ya kuona mpunga aliotoa
haukupotea bure ... ..


Refa alikuwa biased na kuwapendelea mafioso, tuko half time tunawasubiri Emiratestutaona kama wataweza kuchomoka tena ..... . ..... . ..COYG.



kupigwa mtapigwa tu
 
Mkuu usiwe na wasi wasi na Gunners ni one of those matches ambazo refa akishapokea ngawira huna la kufanya. Kama umeona mchezo utaona kabisa fujo na mieleka ambayo Chelsick walijiandaa kufanya.. .. .... . Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Leo refa ana makosa?? Mzunguko wa kwanza unaisha hamuingii top 4.
 
Khe khe khe kheeeeee huyu ndiye yule yule rafiki yangu kipenzi asiyenitakia mabaya kwi kwi kwi kwi...Dua la everlenk leo limempata BAK lol!!!! Endelea kuchekelea 🙂🙂


Mnaongeza mwaka mwingine bila kombe. Hongereni kuzidi kuvunja rekodi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu usiwe na wasi wasi na Gunners ni one of those matches ambazo refa akishapokea ngawira huna la kufanya. Kama umeona mchezo utaona kabisa fujo na mieleka ambayo Chelsick walijiandaa kufanya.. .. .... . Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Waswahili wanakwambia mchezea mavi haachi kunuka,siyashangai matokeo yenu ya jana ila poleni sana kwa kichapo
Cc: Bulldog Mbu piere f.m
 
Last edited by a moderator:
Mkuu usiwe na wasi wasi na Gunners ni one of those matches ambazo refa akishapokea ngawira huna la kufanya. Kama umeona mchezo utaona kabisa fujo na mieleka ambayo Chelsick walijiandaa kufanya.. .. .... . Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

pole mkuu
 
Wanachokifanya Chelsea kwa Arsenal ni kuwa patient, solid at the back, intercept Arsenal's fluid passes and closely watch Arsenal's weaknesses. Then..Bang. Goal. Nothing much.

taendelea kuwa hivyo mpaka siku Wenger akibadili strategy na yeye aanze kuchunguza udhaifu wa Chelsea. Huwezi kucheza mpira bila game plan - Yaani ukacheze na Chelsea sawasawa na unavyocheza na Leicester City au QPR.
 
Jana mapanki aling'aa kinoma, kwanini sijui LVG aliliacha jembe hili!!! Anajua mimi nalifananisha na Diego Costa
 
Back
Top Bottom