Mkuu usiwe na wasi wasi na Gunners ni one of those matches ambazo refa akishapokea ngawira huna la kufanya. Kama umeona mchezo utaona kabisa fujo na mieleka ambayo Chelsick walijiandaa kufanya.. .. .... . Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
nimeuangalia vizuri kabsa, sasa sema unachotaka kusema
Huyo ndio Wenger mechi ijayo mtashinda goli nne bila mtasahau kabisa hichi kipigo
Kama van Girl na Man useless!!! Khe khe khe khe khe kheeeeeee
LVG hana hata miezi 6 but Wenger anafungwa na Maureen tangu 2005
LVG hana hata miezi 6 but Wenger anafungwa na Maureen tangu 2005
BAK ujumbe wako nimeupata,harahara tu usije jinyonga siku moja maana mnavyoongoza kwa kujinyonga si mchezo.
Kwi kwi kwi kwi lol!!! Mie upenzi wa hivi wala sina. Huwa wananiharibia siku katika zile mechi ambazo tulistahili kushinda au angalau kutoa draw. Sinuni kabisa na hili la kujiua lol!!!! Life is too precious everlenk raha zote hizi hapa duniani kisa cha kukatiza haya maraharaha!? 🙂🙂
......eti?! Starehe za mahanjumati, starehe za MMU, starehe za kuangalia Man U na 'kapu lao la kutekea maji!'....! :coffee:
hahahahahahahahahha hapo no coment ngoja wajw wenyewe.......eti?! Starehe za mahanjumati, starehe za MMU, starehe za kuangalia Man U na 'kapu lao la kutekea maji!'....! :coffee: