Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tatizo goons mnapenda sana chenga twawala! Mnataka kupiga chenga hadi golini, kha!

Hawa kwa chenga nawapa A+ tatizo chenga zao hazizai matunda,ila tuache masihara ukitaka uinjoi kandanda safi lenye vionjo angalia mechi za Arsenal.
 
LoL! Upenzi wa kwenye World Cup, sasa kama hunitakii mabaya siku ile ni aje ukaanza kunipa za uso? Mie nilibaki nacheka tu maana sikujua kama nawe unajua kununa/kukasirika 🙂🙂


Wala hata sijafurahi....nakuombea ushinde,mupenzi wewe tena ukisononeka najua kazi itakuwa kwangu,wewe tu ndo hunipendi unafurahi mabaya kwangu.
 
Pia kusema ukweli Nemo anazidi kuwa inconsistent...si siri binafsi namkubali sana Nemo, ila wale waliosema anahitaji muda kuzoea ligi, naanza kuwashangaa? Huu ni msimu wake wa pili; wa kwanza alifanya vizuri sana katika half ya kwanza.

Anahitaji kukaza kwelikweli, la sivyo hata national team ataisikia kwenye bomba!
 
LoL! Upenzi wa kwenye World Cup, sasa kama hunitakii mabaya siku ile ni aje ukaanza kunipa za uso? Mie nilibaki nacheka tu maana sikujua kama nawe unajua kununa/kukasirika 🙂🙂

Siku ile ulinichoma ku moyo haswaa uvumilivu ukanishinda.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
So far hatujacheza vibaya kivile, tunahitaji mchezaji kama Chembo aingie direct kwenye box kumtesti Cahill tiari ana yellow,Ozil apumzishwe aingie Chembo. #COYG .
 
Anaoanao tukishaingia kwenye maguu 12 ya mtu mzima mwenye akili timamu inatukosesha magoli muhimu ya kuondoka na 3 points.
 
wenger naona kawa mnyonge ghafla nadhani maneneo ya jose' yame mpa stress.
 
Katikati tumepoteana kuna umuhmu wa Ozil kutoka aingie rosiskz au Ox
 
Back
Top Bottom