Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poleni hii ndo soccer
 

Attachments

  • 1412522821978.jpg
    1412522821978.jpg
    25.7 KB · Views: 153
  • 1412522852377.jpg
    1412522852377.jpg
    39.6 KB · Views: 151
Polen Ars naona wenger kawa mpiga box siku iz du khe!! khe khe!! kheeee khe khe khe
 
Hongereni Ars888 mmejitahidi tumewafunga mbili tu ........... hongereni sana.

Grand PA
 
Jamaa zangu wa arsenal ni kwamba hamjui mpaka leo wenger hawezi kumfunga mou??

Nilikuwa nasubiria Wenger atangaze ubingwa leo ila tumekosa tena kikombe msimu huu.
 
[video]https://v.cdn.vine.co/r/videos/F7BE1DB4861130542156700946432_ 2d3c8e95ed0.5.1.75342763857635 92588.mp4?versionId=M9RBTPeO6a 1yMlPIFD_Bi9b_h242eP4c[/video]
 
Wakuu wa Gunners polen kwa kipigo hiyo ndio sehemu ya mchezo but to be honest Wenger kazingua alikosea kumtoa Cazorla na ukifuatilia baada ya Carla kutoka ndio tulishndwa kumiliki mpira katika half ya mpinzani na ndio hapo Cesc Fabregas(hongera Zake) akapata chance ya kupiga the Best pass of the Match ambayo inamkuta Diego ikiwa ni 2 aganst 1 ni makosa yale yale kama ilivyokuwa game ya BvB ambapo ilikuwa ni 3 against 1 na bado mtu akapata goli.
Kitu cha muhimu tujipange na mtanange ujao but So far Wenger inabid afanye kazi ya ziada ili kuweza kushinda Big Match.
 
Wilshere out rosick in
Sijui kwanini Wenger hamtoi Ozil

Simuelewagi kabisa Wenger, Ozil anapoteza mipira, anaanguka akipigwa kapushi kadogo tu chini, hakabi, yaani sielewi. Mi nimeshamchoka!! Ozil anabaki alafu Sanchez aliyekuwa anakimbiza anatoka, Carzola anajitahidi anatoka, Wilshire anakimbia na mpira mpaka anaupoteza mwenyewe, kacheza mpaka dk za mwisho mwisho, na sub sidhani kama ni lazima ifanyike kuanzia dk ya 70! Mtazamo wangu, na Wenger sina uhakika kama tutashinda kombe kubwa. Cha kujivunia leo hatujapewa dozi na ilibaki kidogo leo Wenger amshinde Mourinho, kwenye shoving, wenger kashinda! Angalau ana cha kujivunia kumshinda Mourinho kwenye EPL. Pathetic, ila tutafika tuuu!COYG!
 
Back
Top Bottom