Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya waite wadudu wenzio mshambulie mzoga.

Ila siyo siri, goons wamejitahidi sana game ya leo. Maana hadi sasa wamepigwa 2-0; inaonyesha kiasi gani Wenger amefanya maboresho katika timu iliyokula 6-0 msimu wa jana.
 
Aisee hili ni goli la kizembe balaaa,leo kazi ipo kauli ya mzee wa kelele inaenda kutimia muda si mrefu.



Goli ni goli tu ata km limefungwa Kwa Tumbo! Km ni uzembe basi lifuteni Hilo goli tuanze upya!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
This is the type of big game where Danny Welbeck will let Arsenal down! Done absolutely nothing.
 
Haya #Wasagasumu na #Mburukenge osheni vinywa vyenu leo, midfielders na anaoanao imetugharimu leo. Tukifika kwenye eneo hatari utadhani hatujui nini kifanyike nimenuna 🙁🙁

Poleee.....may be you can make it.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
ozil chali kachoka kama katoka kupiga puli.

Dah! Hili pigo ni kali arifu...waonee huruma watani zangu wa kambo hawa...

Ila, Nemo ni kama vile hana morali wa kucheza! Sijui nini kinamsibu huyu jamaa.
 
Kwenye kamusi ya Kiswahili neno Mburukenge maana yake ni mtu yeyote yule ambaye haipendi Arsenal. Kwa hiyo hakuna kauli ya kutengua.

Naomba utengue kauli! Au kubari wewe ni Ndio mburukenge!
 
Wadau mko wapi nyie goons?

Nzi yametimia maombi yako!

Offside duh!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom