Nakuona,ngoja nikusaidie kukufariji......
Nashukuru sana ila usipotee tu pale mambo yatakapoanza kwenda kombo kwa Van Girl kama ilivyokuwa wiki chache zilizopita. Karibu mumtoe roho lol!
Hahahahaha!!! Huwa nakuwepo lakini nakuwa bubu!! Sisi watulivu siyo km ninyi wa kujinyonga ila naona sasa hiv mtahamia kwenye kupiga watu vitasa kama vile kocha wenu.
hivi wachezaji wa Arse888 huwa wanakula nini mbona wao tu kila msimu ndio wanaongoza kw majeruhi ............
Grand PA
The gunners.......mnatia huruma sana....yaani week hii kweli ni balaa kwenu.....mmepoteza na chelsea na sasa mmempoteza na ozil kwa week 12 nje.....poleni sana wakuu.
Attempts
on target 0
off target 0
hahahahaha...............
Grand PA
hata mesi na Cr7 hawaoni ndani ......... Arse888 wamesajili bonge la sriker. bwahahahaha...........
Grand PA
LoL! Kwi kwi kwi kwi kocha wetu mbabe yule Mourinho kidomodomo kimezidi angetiwa adabu ingekuwa poa sana 🙂🙂 huwa una wasiwasi maana timu yenu imebadili jina siku hizi inaitwa Manchester Useless lol!!
.....huangalii report ya majeruhi Man United wewe, au kwakuwa wanaucheza "mdumange?" 😛op2:
Source; Manchester United top injury table! Reds lead crocked list and now Louis van Gaal has internationals | Daily Mail Online
Manchester United without nine first-team players through injury
Habari ndio hiyo.... :coffee:
Siku moja you will eat your own words na maneno yako hapo juu.