everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Leo nawasamehe hawa watani wangu wa kambo..wanatia huruma mno.
Umeona eeeeh!! Tuwasamehe tu kwa leo,wana bahati leo ni siku ya upako.
Leo nawasamehe hawa watani wangu wa kambo..wanatia huruma mno.
......dadddeki, it's only a game but dahhh?!
Anyway.....tujipange kivingine na hawa Chelski.
Yupo Sub.
......dadddeki, it's only a game but dahhh?!
Anyway.....tujipange kivingine na hawa Chelski.
......dadddeki, it's only a game but dahhh?!
Anyway.....tujipange kivingine na hawa Chelski.
Kujipanga mpaka Wenger aondoke, na kuifunga Chelsea EPL mpaka eidha Wenger aondoke au Mourinho aondoke.
nikuulize mkuu, hivi we mpira umeangalia au umesikiliza redioni?! ..........to be honest, approach y arsenal kwny timu znazopark bus inabd ibadilike....unless otherwise tutafungwa kila siku
nikuulize mkuu, hivi we mpira umeangalia au umesikiliza redioni?! ..........
Grand PA