Hivi goons na striker wao aliye on-fire baada ya kupiga hat trick katika kombe la Bonanza (source: Rockcity native) wana hata shot moja on target kweli?! 🙈🙈🙈
Ila siyo siri, goons wamejitahidi sana game ya leo. Maana hadi sasa wamepigwa 2-0; inaonyesha kiasi gani Wenger amefanya maboresho katika timu iliyokula 6-0 msimu wa jana.
Haya #Wasagasumu na #Mburukenge osheni vinywa vyenu leo, midfielders na anaoanao imetugharimu leo. Tukifika kwenye eneo hatari utadhani hatujui nini kifanyike nimenuna 🙁🙁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.