Nyaluhusa87
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 1,303
- 262
1 down hazard dk 27
Dam it chelsea 1 Arsenal Nil.
......hawa wetu leo, hata kama wametupia kamoja ka kubahatisha.
......hawa wetu leo, hata kama wametupia kamoja ka kubahatisha.
Don't be a kwa kwa kwa!! Kaza wewe, ndio kwanza dk ya 29!
Ona huyu mvuta fegi wenu anavyokosa bao la wazi hapa...
......hawa wetu leo, hata kama wametupia kamoja ka kubahatisha.
Poleee
......hawa wetu leo, hata kama wametupia kamoja ka kubahatisha.
Usisahau lakini mpira dakika 90, naona umefurahi sana ungekuwa referee ungeshapuliza firimbi kumaliza game lol!!!