Are you invited?

Are you invited?

Hahahahaaaa....mkuu nimecheka sana ila kiukweli hii tabia ya kutag watu af na wengineo duuh

Bora useme wewe kiazi nikisema mimi muhogo nitaambiwa nina mzizi! Nyuzi za kibinafsi hizi mi napitaga tu
 
haha hadi nialikwe kwani imegeuka harusi hiyo?? km ni private party basi isingewekwa MMU... hapo hotelini si hilo ni jengo tu la biashara mtu yeyote anaingia kupata huduma km ambavyo wana jf wameamua kwenda kujihudumia... kuhusu mashosti mie shosti yangu mama yangu tu wengine wote ni binadam wenzangu

Matola tafadhali nipatie tarehe ya tukio naona lara 1 amenibania

nI PRIVATE PARTY NA MMU IMEWEKWA! Hoteli kubwa ile TUMEKODI UKUMBI AND WE RESERVE RIGHTS TO ADMISSION :cool2::cool2: We hotelini ingia tu si pesa yako bwanaa ila UKUMBINI SORRY STANDARDS ZIMEZINGATIWAAAA!
 
Mkuu Mtambuzi shukrani sana kwa Mwaliko Mkuu.

 
Last edited by a moderator:
nI PRIVATE PARTY NA MMU IMEWEKWA! Hoteli kubwa ile TUMEKODI UKUMBI AND WE RESERVE RIGHTS TO ADMISSION :cool2::cool2: We hotelini ingia tu si pesa yako bwanaa ila UKUMBINI SORRY STANDARDS ZIMEZINGATIWAAAA!

hahahahahahahaha hahahahaha "standards" ngoja kwa leo niishie hapa nimwachie Ustadh swalehe manake huyo ndo mzee wa TBS
 
Last edited by a moderator:
nI PRIVATE PARTY NA MMU IMEWEKWA! Hoteli kubwa ile TUMEKODI UKUMBI AND WE RESERVE RIGHTS TO ADMISSION :cool2::cool2: We hotelini ingia tu si pesa yako bwanaa ila UKUMBINI SORRY STANDARDS ZIMEZINGATIWAAAA!

Hhhhhhaaaaa lo leo unanivunja mbavu aisee,hebu mpe mwenzio mwaliko bana lara1
 
Last edited by a moderator:
are u invited?

Mi hapana aisee,sijaalikwa na sihitaji pia, ila mna raha mkihudhuria party na magari juu kama zawadi mpo juu
Pia ntabaki kulinda mjengo wa lara1
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom