Are you invited?

Are you invited?

Shoga ITS A FREE COUNTRY SINCE 1961 isitoshe mtu mzima hata siku moja habembelezwi! You want in, you are in hujisikii kafie mbele vile vile! Hupunguzi wala huongezi chochote!

Mbona maneno makali kiasi hicho??
 
ha ha ha sasa mdaiwa kama hapokei simu tena je? anaonekana tu kwenye thread za watu? deni litamuandama hadi huku....

Hahaha mdaiwa anaonekana anaperuzi na kudadisi nyuzi ila simu not richabo badala yake hasira inashushiwa kwenye uzi. Wakumbushe waende na vibao vimeandikwa mkopo amekufa. Hehehe penye wengi pana mengi ujuee??
 
Huyu Mtambuzi atakuwa ni mmoja wa Moderator, wengine wakiweka uzi kama huu utapelekwa chit-chat haraka sana, ila huyu jamaa thread zake huwa zinaishia MMU tu! halafu pia ni mbinafsi sana. Anawa-tag watu wake halafu anasema na.,"..na wengineo" kwani hao aliowa-tag hawapo kwenye hao wengineo?
Are you invited?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha jiwe likirushwa ukisikia uwiiiiiii jua lishampata MTU. Party njema team watermark.
Hahaaaahaaaaa! Jiwe limerushwa hadharani hapa na ndo nimelidakaaa! NASHUKURU KWA WEMA WA HII PARTY! We kaa ndani tu kama utumbo inahusuuuuu? Hahaaaa! TEAM WAFU ZIKENI WAFU WENU! Halooooo!
 
Huyu Mtambuzi atakuwa ni mmoja wa Moderator, wengine wakiweka uzi kama huu utapelekwa chit-chat haraka sana, ila huyu jamaa thread zake huwa zinaishia MMU tu! halafu pia ni mbinafsi sana. Anawa-tag watu wake halafu anasema na.,"..na wengineo" kwani hao aliowa-tag hawapo kwenye hao wengineo?
Are you invited?

Mbona kama una lako jambo?
 
Last edited by a moderator:
Huyu Mtambuzi atakuwa ni mmoja wa Moderator, wengine wakiweka uzi kama huu utapelekwa chit-chat haraka sana, ila huyu jamaa thread zake huwa zinaishia MMU tu! halafu pia ni mbinafsi sana. Anawa-tag watu wake halafu anasema na.,"..na wengineo" kwani hao aliowa-tag hawapo kwenye hao wengineo?
Are you invited?

Hahahahaaaa....mkuu nimecheka sana ila kiukweli hii tabia ya kutag watu af na wengineo duuh
 
Last edited by a moderator:
Huyu Mtambuzi atakuwa ni mmoja wa Moderator, wengine wakiweka uzi kama huu utapelekwa chit-chat haraka sana, ila huyu jamaa thread zake huwa zinaishia MMU tu! halafu pia ni mbinafsi sana. Anawa-tag watu wake halafu anasema na.,"..na wengineo" kwani hao aliowa-tag hawapo kwenye hao wengineo?
Are you invited?
Hahaaaaaa! Wala hayupo hivo kabisaaa kizee cha watu! Yupo peace sanaaa humu! Hujamjua tu!
 
Ngoja nianze diet ya Garcinia Cambogia mie.....
Maana hii si ya kukosa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom