Are you invited?

Are you invited?

Hahaaaaaaaa!!!! Kweli mie sijui ulipo sio uongo, manake nikijitia najua utakuwa uongo! Tarehe ndo mpaka uwe INVITED tenaaa! Hahaaaaa! Offer jamani wewe si una mashosti kibao humuuu? Au ndo hawana vigezo vya hio ofa? Maana ungekuwa mgeni kweli, ila ndo hivo kama Vasco da gama mara upo mara haupo!

Loh mwananke una maneno weyee
 
Hahaaaaaa! I was just curious bro! Anakataa sports car for a beer? (Kaizer beer!) Something is fishy some where! Im just sayin!

Hahahaaaa
sports car = KakaKiiza
beer = Kaizer

Well noted

Mi ntamiliki Army bulldozer.... watakoma mibebz ya JF.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaaaa!!!! Kweli mie sijui ulipo sio uongo, manake nikijitia najua utakuwa uongo! Tarehe ndo mpaka uwe INVITED tenaaa! Hahaaaaa! Offer jamani wewe si una mashosti kibao humuuu? Au ndo hawana vigezo vya hio ofa? Maana ungekuwa mgeni kweli, ila ndo hivo kama Vasco da gama mara upo mara haupo!

haha hadi nialikwe kwani imegeuka harusi hiyo?? km ni private party basi isingewekwa MMU... hapo hotelini si hilo ni jengo tu la biashara mtu yeyote anaingia kupata huduma km ambavyo wana jf wameamua kwenda kujihudumia... kuhusu mashosti mie shosti yangu mama yangu tu wengine wote ni binadam wenzangu

Matola tafadhali nipatie tarehe ya tukio naona lara 1 amenibania
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom