Aomba talaka kisa kapata kazi

Aomba talaka kisa kapata kazi

Kuna kesi ngumu kidogo hapa.

Jamaa yangu amekaa na Mke wake kwenye ndoa miaka 9 sasa. Kumbe Mke alikuwa anatafuta kazi sasa amepata.

Baada ya kumletea mume majibu amemnyima ruhusa kuajiriwa.

Mke anataka kazi, Mume hataki. Sasa Mke anataka talaka ili akafanye kazi. Je! Ampe?
Ogopa sana mwanamke aanze kusema anataka talaka iyo ndoa ilishakufa mda sana iyo ni sababu tu hizi jinsia sijui hua zinawaza nini pumbavu kabisa
 
Kuna kesi ngumu kidogo hapa.

Jamaa yangu amekaa na Mke wake kwenye ndoa miaka 9 sasa. Kumbe Mke alikuwa anatafuta kazi sasa amepata.

Baada ya kumletea mume majibu amemnyima ruhusa kuajiriwa.

Mke anataka kazi, Mume hataki. Sasa Mke anataka talaka ili akafanye kazi. Je! Ampe?
Anangoja nini kanuni ni moja akikubali kuacha kufanya kazi ni mke wake km hajakubaliana nae atoe talaka amuache akaendelee na maisha mengine
 
Kuna viashiria ninaviona pia, mwanamke akiwa ananyanyasika anaonekana tu hata mawazo yake mengi ni kujitetea.....wanawake wanaweza kuigiza sana ila kwenye ishu ya pesa hawawezi sababu wanahitaji sana pesa kuliko sisi.
Sisi atuitaji pesa kivip?
 
Kuna kesi ngumu kidogo hapa.

Jamaa yangu amekaa na Mke wake kwenye ndoa miaka 9 sasa. Kumbe Mke alikuwa anatafuta kazi sasa amepata.

Baada ya kumletea mume majibu amemnyima ruhusa kuajiriwa.

Mke anataka kazi, Mume hataki. Sasa Mke anataka talaka ili akafanye kazi. Je! Ampe?
Haya mambo huwa sielewi, kwamba huwa kuna kuombana ruhusa za kufanya kazi?

Na mume akikataa anakufungia ndani huwezi kwenda kusign mkataba wako wa ajira ukaanza kwenda kazini, au inakuwaje kuwaje?
 
Haya mambo huwa sielewi, kwamba huwa kuna kuombana ruhusa za kufanya kazi?

Na mume akikataa anakufungia ndani huwezi kwenda kusign mkataba wako wa ajira ukaanza kwenda kazini, au inakuwaje kuwaje?
Mume hataki mkewe aende kazini sababu anajua tabia za mkewe
 
Anakaaga siti ya mbele sio? She is 28
Ana akili na ni muelewa, wanaume wengi hawahudumii wake zao, yaan wao wakishahakikisha kuna chakula ndani watoto watakula na wakalipa bills zingine baaaasi, kuhusu mke a aa aaaa hawajui hata chupi zao zinauzwaje ila michepuko wanahudumia vizuriiii na wanapenda michepuko yao ifanye kazi sio wake zao ili wapate nafasi nzuri za kuwanyanyasa na kuwadharau ndani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom