Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 9,293
- 12,875
Eennh tena kwa gharama zake za kuja na kurudi huko ofcn kwake. Mbona easy tuu na nilazimaUhakika
Eennh tena kwa gharama zake za kuja na kurudi huko ofcn kwake. Mbona easy tuu na nilazimaUhakika
Sasa si kuna siku ataanza kusema hana pesa ya nauli then utapuuzia kisha atakuwa na kujeba chake kilamba lipsi kinafukunyua mzigoEennh tena kwa gharama zake za kuja na kurudi huko ofcn kwake. Mbona easy tuu na nilazima
Nakusimulia yale tunayoyaishi, km upo siriazi hawezi kukacha nkataba, kwani wapi na wapi moji gani yaani?Sasa si kuna siku ataanza kusema hana pesa ya nauli then utapuuzia kisha atakuwa na kujeba chake kilamba lipsi kinafukunyua mzigo
Hapa nimekuelewa mkuu.....infact mwenye mkasa amesoma hii piaNakusimulia yale tunayoyaishi, km upo siriazi hawezi kukacha nkataba, kwani wapi na wapi moji gani yaani?
Kuna watu wako kwenye ndoa ila wanayopitia ni zaidi ya single mothers, waume zao hawawahudumii, afya zao za wasiwasi kutokana na tabia za waume zao, wanaume nao hawataki wake zao wapate kipato hata wacahangie kununua nyanya ndaniNi ukweli halisi dada