Mm.mwanamke alinifata naomba TUACHANE NKAMPA MSAADA kila alipoenda tumefika Baraza anahojiwa ANASEMA bado anampenda MUMEWE
Nkajibu mm Sina IMANI nae Tena na siwezi kuishi nae Tena na nishamwachia kila kitu CHANGU
Akahisi comedy
NXTY tutakutana maratatu nkasimama na MSIMAMO wangu
Tukafika mahakamani ANAKUJA na nduguze angalia anaomba shetani alimptiaaa akakutana na MADADA wakichaga masisters weweee mwachieni kakayetu afe kwa. Mapenzi ya MUNGU
Nkaulizwaaa mahakamani nkawaonba TUACHANE na Sina IMANI anaweza niua
Miezi kadhaa ya jarambaa hakimu akasema kwa kweli mpaka sasa hamna means ya kuelewana na tukiendelea kulazinisha hii NDOAA mnaweza kumalizinaaa
Akaulizwa unakunywa nkajibu ndio akaulizwa angalia NKAMWAMBIA anakunywa vizuri tu
Wazee WA Baraza wakasema tuyamalize kila mtu achapelapa
HAkuamini miezi kadhaa anapiga simu ANAKUJA nilipo namkwepa Bahama ACHA tu
Nkabadil namba za simu ikawa pona Yangu
Akaja kusikia na watoto na familia
Aalipopata namba sijui akapiga usiku NKAMPA bibie mpya akaomba usipige Tena dada nimelala na mume wangu pls
Ykaishia HAPO
Imagine na mie ningekuwa na ujinga kama wake tuelewane...kesho mnakaa wapi mliosambaza wanaachana
Ndoaa
Konyoooo kabisa