Youbettersleep
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 957
- 1,663
- Thread starter
- #81
Hahaaha daah 300K haitoshi? Ikiwa huduma zote zingine anapata kama kawaidaLaki tatu haitoshi.....muongezee na ya mafao
Hahaaha daah 300K haitoshi? Ikiwa huduma zote zingine anapata kama kawaidaLaki tatu haitoshi.....muongezee na ya mafao
Hili limekuwa ndio kauli ya jamaa kuwa mkewe ataliwa tu huko sababu anajua tabia zakeYeye ampe tu hiyo Talaka. Mwanamke ambaye ulimuoa akiwa hajaolewa akija kupata kazi, atakucadilikiwa sio kawaida. Kwanza anaonekana anapenda kazi kiasi kwamba kwa gharama yoyote atatoa ikiwemo yeye kuliwa atunze kibarua. Mpatie Talaka yake
Inaumiza lakiniMiaka 9 kaichapa sana tayari ,amuache aende
Anamlinda alimzaa yeye?Jamaa anamjua mkewe tabia zake uwenda anamlinda
Muongeze mkuuHahaaha daah 300K haitoshi? Ikiwa huduma zote zingine anapata kama kawaida
KwishaaaaaAnamlinda alimzaa yeye?
Nina piga hisabati piaMuongeze mkuu
Mpe basic salary 😁Nina piga hisabati pia
Kmmye zake hiyo mitoto inamtosha muache apambanie ndoto zake..!!Wanao watoto 2 tayari
Mimi niliombwa talaka kisa nimemzuia asiende harusini wakati keshapaka makeup na Zaidi ya miaka hiyo.!Kuna kesi ngumu kidogo hapa.
Jamaa yangu amekaa na Mke wake kwenye ndoa miaka 9 sasa. Kumbe Mke alikuwa anatafuta kazi sasa amepata.
Baada ya kumletea mume majibu amemnyima ruhusa kuajiriwa.
Mke anataka kazi, Mume hataki. Sasa Mke anataka talaka ili akafanye kazi. Je! Ampe?
Acha kuweka chats za mkeo humu....labda kama sio mkeoKwangu wala hakuna shida ninamuqndaa hapa pia ale chuma akae ndani tu
Hahahahha ko alilia ndani sio? Ila mwisho wa siku alikaa kimya ndaniMimi niliombwa talaka kisa nimemzuia asiende harusini wakati keshapaka makeup na Zaidi ya miaka hiyo.!
Vumilia kidogo mkuu, Hawa Wakina mwajuma ndala ndefu wanaakili kama za marehemu bibi zao
Sio mke wangu bado ila nalo ni muhimu kuzingatiaAcha kuweka chats za mkeo humu....labda kama sio mkeo
Mpaka kufikia hatua ya kutafuta kazi kimyakimya tayari mwanamke kashaona red flag kwa mumewe,kitendo cha mume kumkatalia asifanye kazi ni udhihirisho tosha kama mume ni tatizo,!Kwishaaaaa
Iyo siku ilikuwa pana sana, itoshe kusema bado yupoyupo sanaHahahahha ko alilia ndani sio? Ila mwisho wa siku alikaa kimya ndani
Dah napata kitu hapa,hapo nani anapaswa msikiliza mwezie??Mpaka kufikia hatua ya kutafuta kazi kimyakimya tayari mwanamke kashaona red flag kwa mumewe,kitendo cha mume kumkatalia asifanye kazi ni udhihirisho tosha kama mume ni tatizo,!
Za kuambiwa changanya na zako!! bidada atajua mwenyewe!!!
Mimi mchumba wangu niliwahi mzuia kitu alilia sana kuwa namnyanyasa ila alitii na kubaki ndaniIyo siku ilikuwa pana sana, itoshe kusema bado yupoyupo sana
Hapana ni baba yakoWewe ni mwanaume?