Youbettersleep
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 957
- 1,663
- Thread starter
- #61
Kuna sehemu nilisoma kuwa "Mwanamke kukubali kuwa chini ya mwanaume ni kwasababu kuna kitu anakitafutaila akiona kuwa unamchelewesha au alivhotegemea hakiwezi tokea basi huanzisha varangati ili aachane na wewe"Ampe TU!
Wanawake wanajua WWanachokitafuta Kwa sisi wanaume!lakini sisi ni vigum kujua kwanini waliamua kuishi na sisi Hadi pale malengo yanapotimia!!!
Ukiona ameanza kusema TUACHANE TUACHANE,NENDA TU UNIACHE NA WANANGU!MARA WEWE KWANI KITU GANI WEWE!!
Ukianza kuona haha kwenye majibizano ya hasira!go just go brother move on!your not a hero anymore!
Hivyo team KATAA NDOA wakiona hiii inshu watakuwa wametufunga 10 - 2