Aomba talaka kisa kapata kazi

Aomba talaka kisa kapata kazi

Kuna kesi ngumu kidogo hapa.

Jamaa yangu amekaa na Mke wake kwenye ndoa miaka 9 sasa. Kumbe Mke alikuwa anatafuta kazi sasa amepata.

Baada ya kumletea mume majibu amemnyima ruhusa kuajiriwa.

Mke anataka kazi, Mume hataki. Sasa Mke anataka talaka ili akafanye kazi. Je! Ampe?
Asipompa atapewa yeye baada ya kufanyiwa vitimbi vyote. Mwanamke akishasema hataki kuwa na wewe usipoteze muda kumshauri kwani tayari ameshaamua ndani ni suala la muda ataenda zake.
Wanaume tafuteni amani na furaha ya mioyo yenu kwanza vingine viwe vya ziada. Mwanaume hakikisha haya:
1. Unakula vizuri
2. Unavaa vizuri
3. Unafanya mazoezi
4. Unapata muda wa kushiriki burudani na starehe nyingine za afya
5. Unakuwa na akiba benki,simu na vitega uchumi vingine kibao
Mengine ONGEZA wewe
NB
MWANAMKE AKIKUPENDA HAWEZI KUTAMKA TALAKA AU KUACHANA KWASABABU YOYOTE ILE
 
Kuna kesi ngumu kidogo hapa.

Jamaa yangu amekaa na Mke wake kwenye ndoa miaka 9 sasa. Kumbe Mke alikuwa anatafuta kazi sasa amepata.

Baada ya kumletea mume majibu amemnyima ruhusa kuajiriwa.

Mke anataka kazi, Mume hataki. Sasa Mke anataka talaka ili akafanye kazi. Je! Ampe?
Mpe talaka tu akafanye kazi
 
Huyo ni wewe mkuu! Pole maamuz ni yako na mke ni wako
Kuna kesi ngumu kidogo hapa.

Jamaa yangu amekaa na Mke wake kwenye ndoa miaka 9 sasa. Kumbe Mke alikuwa anatafuta kazi sasa amepata.

Baada ya kumletea mume majibu amemnyima ruhusa kuajiriwa.

Mke anataka kazi, Mume hataki. Sasa Mke anataka talaka ili akafanye kazi.
 
Kuna kesi ngumu kidogo hapa.

Jamaa yangu amekaa na Mke wake kwenye ndoa miaka 9 sasa. Kumbe Mke alikuwa anatafuta kazi sasa amepata.

Baada ya kumletea mume majibu amemnyima ruhusa kuajiriwa.

Mke anataka kazi, Mume hataki. Sasa Mke anataka talaka ili akafanye kazi. Je! Ampe?
Mwanamke anaruhusiwa kufanya kazi, aachiwe kufanya kazi.
 
Umejuaje kama ni mimi? Please hii isiwe direct pointing....binafsi siwezi ruhusu mke wangu kuwa mfanyakazi ikiwa inauwezo wa kumfungulia biashara na akafanya sawasawa na ofisini huko.

Nitamruhusu kufanyakazi ikiwa sina cha kumpatia zaidi ya mahitaji ya kawaida...nieleweke kuwa sina nia ya kumzuia kufanya kazi awe golikipa
MKuu, biashara ni kazi sawa na kazi zingine ila unavyooneka unataka kuheshimiwa si kwa social responsibility as a husband ila kwa economical power.
Una taka utoe approval kila kitu cha mkeo, hiyo ni micromanagement

Mtu mzima hachungwi, tabia ya mtu ni sawa na ngozi yake, kamwe haibadiliki, utafanya cosmetics tu but uhalisia utabaki km ulivyo.

Ndiyo maana wanaume tunakufa mapema kwa kujilimbikiza matatizo na majukumu yanayoepukika.

Acha mke afanye kazi bana, iwe biashara au kuajiriwa, yaani mtu mna miaka 9, huyo hata wivu ushaisha mshabaki kuwa life partners, interest kubwa si mapenzi yenu tu bali ustawi wa kizazi chenu.
 
Hivi mtu ahangaike kusoma miaka 17+ halafu umkateze kufanya kazi? Ukimkuta mwanamke amesoma kubalianeni kuhusu mambo ya ajira mapema kabla ya kuoana. Vinginevyo hata mimi ningechagua kazi over hiyo ndoa +utakuwa ulikuwa unamnyanyasa.

Kama hutaki mke atakayeajiriwa chagua ambao hawajasoma
 
Hivi mtu ahangaike kusoma miaka 17+ halafu umkateze kufanya kazi? Ukimkuta mwanamke amesoma kubalianeni kuhusu mambo ya ajira mapema kabla ya kuoana. Vinginevyo hata mimi ningechagua kazi over hiyo ndoa +utakuwa ulikuwa unamnyanyasa.

Kama hutaki mke atakayeajiriwa chagua ambao hawajasoma
Uhakika
 
MKuu, biashara ni kazi sawa na kazi zingine ila unavyooneka unataka kuheshimiwa si kwa social responsibility as a husband ila kwa economical power.
Una taka utoe approval kila kitu cha mkeo, hiyo ni micromanagement

Mtu mzima hachungwi, tabia ya mtu ni sawa na ngozi yake, kamwe haibadiliki, utafanya cosmetics tu but uhalisia utabaki km ulivyo.

Ndiyo maana wanaume tunakufa mapema kwa kujilimbikiza matatizo na majukumu yanayoepukika.

Acha mke afanye kazi bana, iwe biashara au kuajiriwa, yaani mtu mna miaka 9, huyo hata wivu ushaisha mshabaki kuwa life partners, interest kubwa si mapenzi yenu tu bali ustawi wa kizazi chenu.
Umenena vyema sana mkuu infact sio mimi mhusika
 
Asipompa atapewa yeye baada ya kufanyiwa vitimbi vyote. Mwanamke akishasema hataki kuwa na wewe usipoteze muda kumshauri kwani tayari ameshaamua ndani ni suala la muda ataenda zake.
Wanaume tafuteni amani na furaha ya mioyo yenu kwanza vingine viwe vya ziada. Mwanaume hakikisha haya:
1. Unakula vizuri
2. Unavaa vizuri
3. Unafanya mazoezi
4. Unapata muda wa kushiriki burudani na starehe nyingine za afya
5. Unakuwa na akiba benki,simu na vitega uchumi vingine kibao
Mengine ONGEZA wewe
NB
MWANAMKE AKIKUPENDA HAWEZI KUTAMKA TALAKA AU KUACHANA KWASABABU YOYOTE ILE
Kaka asante kwa mawazo mazuri nimezingatia ila mimi sio mhusika, hii hata yeye anaisoma
 
Ana akili na ni muelewa, wanaume wengi hawahudumii wake zao, yaan wao wakishahakikisha kuna chakula ndani watoto watakula na wakalipa bills zingine baaaasi, kuhusu mke a aa aaaa hawajui hata chupi zao zinauzwaje ila michepuko wanahudumia vizuriiii na wanapenda michepuko yao ifanye kazi sio wake zao ili wapate nafasi nzuri za kuwanyanyasa na kuwadharau ndani
Ni ukweli halisi dada
 
Kama alikua anamsimanga kwa pesa na kumfanyia ubahili imekula kwake. Talaka ataitoa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom