TANZIA Ansgar Africanus Mushi wa PSSSF afariki dunia

TANZIA Ansgar Africanus Mushi wa PSSSF afariki dunia

Habarini wanajamvi,

Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao Uru, Mawela - Moshi.

Kesho Moshi inasimama... Wachaga hawana Dogo boss amelala.

Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe

View attachment 3452588View attachment 3452587
Kifo ni kifo tu
 
Kwa hiyo na yeye warithi wake watalamba shubiri ileile ya kikokotoo?

PSSSF HQ pamejaa wezi hasa kitengo cha huduma kwa wateja!!
 
Umri wa mama angu,...ameenda mapema sana aisee 53🤕... hapana, Mwenyezi Mungu usiache kuwakumbatia wazazi wetu,uwaponye maradhi yao.Pumzika mkuu
 
Habarini wanajamvi,

Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao Uru, Mawela - Moshi.

Kesho Moshi inasimama... Wachaga hawana Dogo boss amelala.

Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe

View attachment 3452588View attachment 3452587
Alishiriki kikotooo cha sasa hivi??
N hiki....Jaji mkuu leo kashauriiii

Kibadilishwe watu wanatesekaaa

Kama ndio hivyoo apewe stahili yake alipoo
 
Ushaanza kutoa unabii
Kifo ni kifo muache baba wa watu apumzike. Ameacha mke mweupe peeee na watoto wake warembooooo kweli weupe peee kama shombe shombe na Mali kibao.
Subirii mirathiiii kama hajaandikaaa aisee acha tuu wanatesekaga sana watotoo
 
Habarini wanajamvi,

Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao Uru, Mawela - Moshi.

Kesho Moshi inasimama... Wachaga hawana Dogo boss amelala.

Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe

View attachment 3452588View attachment 3452587
WACHAGA TUHESHIMIWE

TUNAJENGAGA KWETUUUUU

SiO KAMA WAT U WA .....
MBE.....

NAPITA TUU

WACHAGA OYEEEEE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom