Ooh dear! RIEP Ansigar...Habarini wanajamvi,
Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao Uru, Mawela - Moshi.
Kesho Moshi inasimama... Wachaga hawana Dogo boss amelala.
Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe
View attachment 3452588View attachment 3452587
Ooh, sorry... pole sana...Mimi mzima japo anapambana na maradhi ya hapa na pale.Pole sana momHata mama yangu alipumzika na umri huo mwaka juzi.
😭😭
Ukiona hivyo basi ujie amekaribia kustaafu...teh🤣Daah aiseee 🤣 🤣...leo nimemsikia CJ naye anakilalamilia kikokotoo kwa majaji...
Mbn km ushabiki tena? Moshi itasimama? Wachaga mmelogwa na nani? Halafu we km mwehu, kwamba kila mtu anamfahamu.Habarini wanajamvi,
Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao Uru, Mawela - Moshi.
Kesho Moshi inasimama... Wachaga hawana Dogo boss amelala.
Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe
View attachment 3452588View attachment 3452587
We kwl ni mtoto,Ana u young gan jaman? 1972 had Leo ni young?
Amina Amina...Amani iwe nawe cute🙏🙏Asante dear
Mungu ampatie uponyaj
Poleni sana wafiwa.kama umazaliwa na mwanamke siku zako ni chache sana nazo zimajaa taabu.Habarini wanajamvi,
Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao Uru, Mawela - Moshi.
Kesho Moshi inasimama... Wachaga hawana Dogo boss amelala.
Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe
View attachment 3452588View attachment 3452587
Alifanya heshima Nyumbani, safi sana, Mungu ampe pumziko jemaHabarini wanajamvi,
Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao Uru, Mawela - Moshi.
Kesho Moshi inasimama... Wachaga hawana Dogo boss amelala.
Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe
View attachment 3452588View attachment 3452587
Ameanzisha kikokotoo ye mbunge ?Maisha ni hadithi - Kumbe ndiye aliyeanzisha kikotoo kinachowaumiza watumishi?
Poleni ndugu ,jamaa na marafiki.
Bunge ni Rubber Stamp tu Bwasheee ,Sirikali ndiyo inapeleka Bungeni ili kina babu Tale ,Msukuma ,Kibajaji wasemeee ndiyooooo ili sheria zianze kutumika.Ameanzisha kikokotoo ye mbunge ?
Msiwape watu credit sio zao
Bora ww umejibuBunge ni Rubber Stamp tu Bwasheee ,Sirikali ndiyo inapeleka Bungeni ili kina babu Tale ,Msukuma ,Kibajaji wasemeee ndiyooooo ili sheria zianze kutumika.