Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,103
Complications zinauwa sana watu
Inategemea dini yako, kwa Wakristo wote sawa, kwa Waislamu kuna madarajaSijui huko wanachanganyikana na sisi maskini au wao wana sehemu yao
Bora ww umejibu
Me nliona uvivu... Ina maana hajui miswada vyanzo vyake mojawapo ni serikali kuu kupitia parastatals zake...
Hivi hawa waanzilishi wa kikokotoo wakati wanajadili na kukipendekeza wao walijua hawata staafu nn!!? Maana kinalalamikiwa kila kona!!. Naona na mwanzilishi kaondoka kabla ya kustaafu utadhani alijua kikokotoo hakimhusu!! Wazee wanalalaamika sana!! Wahusika mjiangalie na hizi laana za wazee wataaafu!! Zitawamaliza.Habarini wanajamvi,
Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao Uru, Mawela - Moshi.
Kesho Moshi inasimama... Wachaga hawana Dogo boss amelala.
Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiwe
View attachment 3452588View attachment 3452587
Watakaopambana nacho ni warithi wake sasa... Watapewa mafungu Hadi wakomee...Hivi hawa waanzilishi wa kikokotoo wakati wanajadili na kukipendekeza wao walijua hawata staafu nn!!? Maana kinalalamikiwa kila kona!!. Naona na mwanzilishi kaondoka kabla ya kustaafu utadhani alijua kikokotoo hakimhusu!! Wazee wanalalaamika sana!! Wahusika mjiangalie na hizi laana za wazee wataaafu!! Zitawamaliza.
Wanatakiwa kujulikana kwa majina ili siku wakistaafu washughulikiwe ipasavyo.Watakaopambana nacho ni warithi wake sasa... Watapewa mafungu Hadi wakomee...
Mawela kanisa la romanUru mawela wapi??
Mboheni mnu wandu wa uru,, alale handu ahoo... R.I.P
MWAKILISHI NI CC secretarybird
aika maeMawela kanisa la roman
Ukishapita rau unapandisha Hadi mawela kanisani pale pale wametenganishwa na barabara inayoenda uru wakaseni
Ukifikisha miaka 50 ndo utajua kwambo alikuwa badoUkishafikisha 50 sio i
Miaka hiyo 53 hasa wanaume wengi watoto wao wakubwa utakuta ndo Hawa wa 95 kuja huku juu na hapo aliwahi kuoa Ila wengi wanaooa miaka 27, kuja 30 wana watoto maybe wapo chuo au ndo tuu fresh graduates,,Ukifikisha miaka 50 ndo utajua kwambo alikuwa bado
Na mwambaa ndiooDaah aiseee 🤣 🤣...leo nimemsikia CJ naye anakilalamilia kikokotoo kwa majaji...