Duh! Jamaa namfahamu. Kumbe ndiye muasisi wa kikotoo? R.I.P comrade. Aliugua nini?Habarini wanajamvi,
Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao uru mawela moshi.
Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiweView attachment 3452588View attachment 3452587
Tuilaumu bodi iliyopitisha hilo wazo, huyu alikuwa ni mtekelezaji tu.Yeye ana mchango kwa taifa kwa kutuletea kikokotoo (sjui utaita hasi au chanya)
Huyu anazaliwa tunamaliza msingiSasa je
Miaka 50 na zaidi duniani ni michache? Au labda aliyesema ni young nae ni umri huo anajifariji
Hata mafao yake hajala maskini😭😭😭
Sasa kwanini aje na wazo la kuumiza raia maskini? Namjua mstaafu yuko anapigika na kikokotoo akiwa ameparalaizi. Sasa huyu HeLa zake alipaswa apewe azifurahie kwa miaka iliyobaki sasa wanampaje mafungu mafungu...Tuilaumu bodi iliyopitisha hilo wazo, huyu alikuwa ni mtekelezaji tu.
Unamwita mzee! Sisi ambao wakati anazaliwa tulikuwa tunamaliza la saba ni wanini sasa. Sisi ni wazee na yeye alikuwa bado kijanaSijaelewa
Sina jema la kumtakia, aende anapostahiki tu.Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu
Sema hawa watu wanakuwaga na shida kwa nini alichagua hiyo rangi ya nyumbaHabarini wanajamvi,
Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao uru mawela moshi.
Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiweView attachment 3452588View attachment 3452587
Atujibu kwanza ndio aondoke zakeHujakosea Ila tumuachie Mungu amhukumu