TANZIA Ansgar Africanus Mushi wa PSSSF afariki dunia

TANZIA Ansgar Africanus Mushi wa PSSSF afariki dunia

Sasa kwanini aje na wazo la kuumiza raia maskini? Namjua mstaafu yuko anapigika na kikokotoo akiwa ameparalaizi. Sasa huyu HeLa zake alipaswa apewe azifurahie kwa miaka iliyobaki sasa wanampaje mafungu mafungu...
Ni sawa na askari atumwe na bosi wake afanye moja mbili tatu alafu akatae, unahisi ni nini kitatokea? Kufanya maamuzi magumu itakulazimu uachie nafasi n.k, je ni wangapi wako tayari kwa hilo?
 
Wacha nisicomment tu maana kila naloandika naona natukana tu....
 
Ni sawa na askari atumwe na bosi wake afanye moja mbili tatu alafu akatae, unahisi ni nini kitatokea? Kufanya maamuzi magumu itakulazimu uachie nafasi n.k, je ni wangapi wako tayari kwa hilo?
Angekuja na wazo lingine baada ya yeye kutumwa akawe creative...
 
kwaherini ,kikosi Cha mizinga kwaherini hamtamwona tena milele , afandesele Kwa herini aaahaaaaa
 
Ana u young gan jaman? 1972 had Leo ni young?
To die? Yes, too young...

Kwa mujibu qa Biblia tulipewa miaka 70 ya kuishi. Yeyote afae kabla ya umri huo bado ni kijana sana. Tena kwa mwanaume hata watoto kama anao atakuwa amewaacha wadogo bado wanamhitaji. Mungu atujalie maisha marefu

Zaburi 90:10:
Miaka ya kuishi ni sabini, au tukiwa wenye afya, themanini; lakini yote ni shida na taabu! Siku zapita mbio, nasi twatoweka mara!
 
To die? Yes, too young...

Kwa mujibu qa Biblia tulipewa miaka 70 ya kuishi. Yeyote afae kabla ya umri huo bado ni kijana sana. Tena kwa mwanaume hata watoto kama anao atakuwa amewaacha wadogo bado wanamhitaji. Mungu atujalie maisha marefu

Zaburi 90:10:
Miaka ya kuishi ni sabini, au tukiwa wenye afya, themanini; lakini yote ni shida na taabu! Siku zapita mbio, nasi twatoweka mara!
Kwa biblical point of view may be...
Ila kiubinadam over 50 sio michache
 
Habarini wanajamvi,

Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao uru mawela moshi.
Kesho Moshi inasimama... Wachaga hawana Dogo boss amelala.
Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiweView attachment 3452588View attachment 3452587
Huyu na Dr Ireen Isaka walikuwa loudspeakers tu, hakuwa wafanya maamuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom