Pole kwa wote walioondokewa na mpendwa wao.Uru mawela wapi??
Mboheni mnu wandu wa uru,, alale handu ahoo... R.I.P
MWAKILISHI NI CC secretarybird
Lilikuwa danga Lako nini maana marehem nae wamo
Ooh pole dearAaaah sio mambo yangu hayo, nasikitika watu wanavyofurahia mwenzao kafa,
Pili,hii ni siku ilikuwa ya majonzi kwangu,baba angu kafa tarehe kama hiyo na mwezi huo,hivyo nilikuwa makabulini time hiyo.
Aisée kumbe ni classmate Wako?R.i.P Classmate...😥
Sema ulizingua sana kwenye issue ya kikokotoo..😶
Mali kama zote,hilo ghorofa hapo ni la wapi?Ushaanza kutoa unabii
Kifo ni kifo muache baba wa watu apumzike. Ameacha mke mweupe peeee na watoto wake warembooooo kweli weupe peee kama shombe shombe na Mali kibao.
Mchaga hâta Akiwa kaishia memkwa anakuwa na akili mingi,sembuse huyu mtaalamu wa actuarial science?Tangu lini mchaga msomi akawa mjanja?
Wachaga msinipopoe
Yéyé alkuwa anatekeleza maamuzi ya taasisi adingeweza kwenda kinyumeKikokotooo!!! apumzike anapostahili amewaaibisha sana wachaga wa uru
Kwa AMANI kumejaaa ..akapumzike hata kwa Munuo... Ametutesea wazazi wetu na sisi tunaotaraji kustaafu.Apumzike kwa amani
Oyee ghorofa linapepea migombaniWACHAGA TUHESHIMIWE
TUNAJENGAGA KWETUUUUU
SiO KAMA WAT U WA .....
MBE.....
NAPITA TUU
WACHAGA OYEEEEE
Aika meku okoUru mawela wapi??
Mboheni mnu wandu wa uru,, alale handu ahoo... R.I.P
MWAKILISHI NI CC secretarybird
aika mbeAika meku oko