Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,248
- 69,819
😂😁Ushaanza kutoa unabii
Kifo ni kifo muache baba wa watu apumzike. Ameacha mke mweupe peeee na watoto wake warembooooo kweli weupe peee kama shombe shombe na Mali kibao.
😂😁Ushaanza kutoa unabii
Kifo ni kifo muache baba wa watu apumzike. Ameacha mke mweupe peeee na watoto wake warembooooo kweli weupe peee kama shombe shombe na Mali kibao.
😂😁😁Ubinafsi tu. Kama alikua anajua ataondoka kabla hajastaafu ndio maana alikazia wastaafu waumie. Aende anapostahili!
Hata mafao yake hajala maskini😭😭😭Habarini wanajamvi,
Ninasikitika kuwajulisha kwamba aliyekuwa mmoja wapo wa wakurugenzi huko PSSSF Bwana Ansgar Africanus Mushi ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu ameaga dunia siku chache zilizopita humo Africa ya kusini na kesho atazikwa kwao uru mawela moshi.
Bwana Alitoa na Bwana alitwaa jina lake lihimidiweView attachment 3452588View attachment 3452587
Mwasisi Wa KikokotooR.I.P mzalendo. Too young to die
Mwiba Unatokea/Unatolewa UlipoingiliaHata mafao yake hajala maskini😭😭😭
mbona unataka kunifanya nitoe lugha chafu. Basi apumzike na Kikokotoo kwa amani.ambaye pia ni muasisi wa kikokotoo cha mafao ya wastaafu
50+ Less than 60Les than 60
"KIFO NI KIFO"R.I.P mzalendo. Too young to die
We mtoto wewe!Ukishafikisha 50 sio young
Pole mstaafu mwenzangumbona unataka kunifanya nitoe lugha chafu. Basi apumzike na Kikokotoo kwa amani.
Naye akakokotolewe hivyo hivyo kama alivyowakokotoa wazee wetu
pole sana! Mimi walinikokotoa short of that ningelikuwana over 2m per month!Pole mstaafu mwenzangu
Juzi nimeenda nssf kudai changu nkakumbana na percent kwa miez 6 nkawa mpolee hata sijaenda bank kuchek wameingiza ngap