Umepata like zakutosha ila nizakinafiki. Umepotea mwenyewe.
imani yangu.. magufuli anapewa lawama sababu tu raisi... ila wanaomharibia ni watu wake wa karibu... yeye ana nia nzuri sana na nchi ila kuna wale wanaotaka ashindwe na ndo wanasababisha kero zote hz..!
Soma. ...Hata adolf hitler alikua chaguo la Mungu.wafalme wa pili sura ya saba
kwahiyo mkuu unataka kusema.. ukiwa na nia njema ndo chanzo cha majanga!Hakuna kitu kibaya na hatari kama "nia njema". Maovu mengi na uharibifu mwingi na mkubwa katika historia ya mwanadamu umefanyika kwa "nia njema". Ndio maana ninyi mnaotumia hisia kutazama au kuchambua mambo mnajikwaa na kuanguka hapo mara nyingi.
kwahiyo mkuu unataka kusema.. ukiwa na nia njema ndo chanzo cha majanga!
Hata Magufuli mwenyewe hana uhakika na wapi anakotupeleka. Kapoteza dira, hana mipango zingatifu, hashauriki, amejaa vitisho, ghiliba na visasi na hatabiriki. Bila shaka anatumia ndoto kufanya maamuzi!Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?
Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa?
Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!