Inferior Complex
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 3,655
- 5,008
Siku hizi kakumbukwa!Wako wapi kina JINGALAO? Njooni mlitetee jiwe lenu. LIZABONI alihangaika Sana humu usiku na mchana kumtetea, siku hizi sijui Yuko wapi!
haha ni jiwe haswaaaaYaani sijui ilikuwaje hata haya yote yakatokea... Badala ya keki watanzania tukajikuta tumeshikilia Jiwe hadi miaka 5 ipite kama si 10.
Uhuru una maana nyingi kijanaNdio maana mimi huwaona wanachadema wengi ni watu wenye mtindio wa ubongo na ni nyumbu....hahahaha
Mtu anasema nchi haijatulia wakati papo hapo anapata muda wa kupost na kuchati...halafu papo hapo anasema nchi haina uhuru.......
Unakosea mkuu kudhani kila mpingaji ni wa Chadema tu, hii inaonesha jinsi gani unavoshikiwa akili, kwamba umekaririshwa hivyo na wewe hujiongezi, hebu tafakari kwa akili yako uone wanachokiona waungwana!!!Ni nyie wavuta BHANGI wa ufipa mlio kwenye kaproject maalumu ka kuandika upuuzi humu ndio MNACHUKI NAE Nna ndio maana waaandikaji wa UPUUZI NI WALE WALE KILA SIKU.....
Ila ukweli ni kwamba MAGUFULI NI RAIS BORA KUWAHI KUTOKEA KWENYE NCHI HII......kuthibitisha hili subiri uo upuuzi wenu unaopangwa HAPO UFIPA kupitia KIMAMBI KAMA UTAFANIKIWA unless otherwise mlete hapo VIJANA WA REDBRIDGADE MLIO WAFICHA KULETA VURUGU
Maandishi yako yamenishinda/sijayaelewa/hayaeleweki/....….....Kelekeleeee....fukuza mwizi kwa technology. Sio kwa kelele.
Angusha dukuduku lako "waziri wa habari" atalishughulikia kama la Chupi za kina Diamond.Hahahahaah Ngoja nikae kimya
Eti leo mzee wa hewa amekuwa wakufanyia uzinduzi IKULU, mm namcheki tu hiiiiiiTatizo aliingia kwa mbwembwe sana. Kuwakashifu watangulizi wake.
Alitukana mamba kabla hajavuka MTO.
mkuu.. Huyu sio msukuma, kakulia tu usukumani!Watumishi wa umma bado tunadai malimbikizo ya malipo mbali mbali lakini kila siku ni uwongo tu wa hii serikali. Ama kweli kutawaliwa na msukuma kunataka moyo
Mkuu IQ yako nahisi hata ya kuku ina afadhali, kwa majibu haya hujui utokako wala uendako! Unajua maana ya DIRA YA NCHI? huwa inatengenezwa na mfumo (uongozi alio madarakani) Shame on you!Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!