yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,226
- 4,894
Haya alipaswa kujibu dereva la lorryKwa matukio haya
Kupotea kwa
1.ben saanane
2.Azory Gwanda
3.Lisu kupigwa risasi
4.Nape kutishiwa bastola
5.miili ya watu kuokotwa ufukweni mwa bahari
6.Ansbert Ngurumo kuomba hifadhi nje
7.viongozi wa upinzani kuwekwa ndani
8.Abdul nondo kutekwa
9.Akwilina kupigwa risasi
10.watu kufunguliwa kesi za uchochzi
11.biashara nyingi kufungwa
12.kuminywa kwa democracy na uhuru wa kujieleza
13.utitiri wa kodi usiondana na hali halisi ya biashara
14.Watu kufukuzwa kazi kiholela
15.Manunuzi yasiyofuata utaratibu za manunuzi
16.Kuzorota kwa hali ya elimu nchini
17.Watanzania kuishi kwa vitisho
18.Kukosekana kwa ajira kwa wanafunzi wengi wanaohitimu vyuo
19.Polis kubambikizia raia kesi
20.Kejeli dhidi ya viongozi wa dini
21.kuvunjwa kwa katiba na kukosekana kwa utawala wa sheria na mengine mengi
JE NI NANI ALIYE SALAMA?