mijitu bwanaaa...serikali ina wajibu wa kuendeleza watu wake Lumumba mnakosa exposure ...Ulaya unapewa mkopo ukiwa na proposal tu..50m kila kijiji ziko wapiAkupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
Wa kulaumiwa na JK na Mkapa!Magufuli ni mbaguzi tena wa waziwazi kama anadiriki kuyasema haya hadharani je yasirini si yatakuwa yanatisha.
1. Serikali yangu lazina wawe wanatoka ndani ya ccm tu.
2. Sasa ni zamu ya kanda ya ziwa na kusini
3. Marufuku kuwabomolea wa mwanza ndio walio mpa kura
4. Hakuna bunge live, yeye kutwa yuko live
5. Aliyesoma private school hakuna mkopo, yeye aliyesoma seminary ilikuwa ni government?
6. Waliopata tetemeko yeye hakuleta tetemeko hela ya maafa ikaenda kujenga shule ya ccm na wahanga wakaisoma namba.
Huu uzi mpaka leo sijaelewa kwanini haujapewa sifa ya kuwa stickyMwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Utakua umekosa uzalendoHuu uzi mpaka leo sijaelewa kwanini haujapewa sifa ya kuwa sticky
na Mwandishi wake apewe tuzo , Halafu hajaonekana tena ! sijui yuko wapi ?Huu uzi mpaka leo sijaelewa kwanini haujapewa sifa ya kuwa sticky
Danadana maana yake hawana uwezo huo,hivo visingizio lzm viwe vingi, si ajabu wakajakopwa hata huko mbeleni.Kuongeza mishahara ya watumishi imekuwa ni danadana tu huku kukitolewa visingizio kadha wa kadha tangu awamu hii iingie madarakani.
Mbali na kukwepa kuongeza mishahara kwa visingizo mbalimbali kuanzia uhakiki na sasa tunakamilisha kwanza miradi mikubwa,teyari tumeshuhudia walimu wa masomo ya sanaa wakihamishwa kutoka shule za sekondari kwenda msingi kwa maelezo wamekuwa wengi kuliko mahitaji.
Vile vile tunashudia danadana za kuajiri.Kwa mfano zile nafaai zaidi ya 52,000 zilizowahi kutangazwa siku za nyuma sijui kama zote zimeshajazwa mimi sielwi.
Kwa trend hii naanza kujiuliza hivi huko mbeleni hakuna uwezekano wa kuja hata kupunguza baadhi ya watumishi wa umma kwa baadhi ya kada/sekta? za utumishi wa umma?
Kama wameweza kuwahamishia walimu wa sekondari na kuwapeleka katika shule za msingi,hii sio dalili kuna siku wanaweza kupunguza watumishi wa umma walioka katika baadhi ya kada za utumishi wa umma?
Nawaza mengi tu wajameni!!