Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Naogopa hata kuandika. Inshort hata rais hajui tunaenda wapi...
Nakuunga mkono mkuu...

sisi kama wananchi hatujui rais anaipelwka wapi nchi yetu.....

yeye kama rais hajui anaipeleka wapi nchi yetu.
Na mbaya zaidi aliwahi kusema kuwa aligombea kujaribu au kubeep bahati mbaya sana akaupata urais.

so ni mtu ambaye hakuwa serious na hakujiandaa kuwa mkuu wetu soo mzigo umemwangukia sasa anaubeba anavyojua mara auburuze chini mara aubwage kwa nguvu aridhini ilimradi kajitwiga zigo la nchi na hajui analipeleka wapi.

KIUFUPI NI KUWA NCHI IMEPOTEZA MWELEKEO NA KILA UPANDE UNAYUMBA...KIUCHUMI KISIASA NA HATA KIUTAMADUNI.
 
Chukua udhaifu wa Kikwete na serikali ya awamu ya nne zidisha mara 3 utapata udhaifu wa Magufuli na serikali ya awamu ya tano

Nawaambieni hamuwezi kuvushwa na kiongozi dhaifu. Miaka mitatu imeisha kukiwa na jitihada kubwa za kuficha udhaifu.

Udhaifu unafichwa kupoka majukumu ya vyombo vingine. Udhaifu umefichwa kwa kupokonya na kujimilikidha bunge.

Udhaifu umefichwa kwa kuzuia watu kuongea,udhaifu umefichwa kwa kutisha kila anayenyanyua mdomo.

Udhaifu wa kudorora kwa mapato umefichwa kwa kunyanganya halmashauri vyanzo vya mapato.

Udhaifu wa kuonyesha kushukwa kwa uchumi umefichwa na kutishia kwenye sheria ya Takwimu.

Udhaifu wa kujua mambo ya kimataifa na huko mambele umefichwa kwa kisingizio ya rais hapendi kwenda nje kuokoa gharama

Udhaifu wa kukosolewa umefichwa........namlilia Tundu Lissu.
 
Chukua udhaifu wa Kikwete na serikali ya awamu ya nne zidisha mara 3 utapata udhaifu wa Magufuli na serikali ya awamu ya tano

Nawaambieni hamuwezi kuvushwa na kiongozi dhaifu. Miaka mitatu imeisha kukiwa na jitihada kubwa za kuficha udhaifu.

Udhaifu unafichwa kupoka majukumu ya vyombo vingine. Udhaifu umefichwa kwa kupokonya na kujimilikidha bunge.

Udhaifu umefichwa kwa kuzuia watu kuongea,udhaifu umefichwa kwa kutisha kila anayenyanyua mdomo.

Udhaifu wa kudorora kwa mapato umefichwa kwa kunyanganya halmashauri vyanzo vya mapato.

Udhaifu wa kuonyesha kushukwa kwa uchumi umefichwa na kutishia kwenye sheria ya Takwimu.

Udhaifu wa kujua mambo ya kimataifa na huko mambele umefichwa kwa kisingizio ya rais hapendi kwenda nje kuokoa gharama

Udhaifu wa kukosolewa umefichwa........namlilia Tundu Lissu.

Nimewaona mods wakija mbio kufuta huu uzi subiri kidogo tu, siyo kosa lao, ni hali ya nchi ilivyo kwa sasa
 
Mim niamin kila binadamu ana uzaifu wake...Mungu fundi sana...kila mtu anapewa karama yake....Kikwete atabaki Kikwete tu na Magufuli atabaki Magufuli...
Wengi tuliona Kikwete ana mapungufu mengu..tukahisi Magufuli atakua full package...Magu kumbe anakua mzuri kwa baadhi ya maeneo kwingine chenga tu.....
 
Hivi ukiulizwa msingi wa hii pumba yako sio ajabu ukajibu ni kuzuia maandamano na bunge live hapo ndio huwa nawakubali Nyumbu kwenye ufahamu.
Jibu hoja wewe umeona maandamno a bunge live tu??

Kama wakati wa kikwete alikuwa anaweza kukusanya bilioni mianane by average ,bila kuzinyang'anya halmashauri ela za makusanyo yake ,sasa nyie pamoja na kuchukua makusanyo ya halmashauri zote za nchi hii,eti pato la taifa ni trilioni moja nukta moja by average!!!!! Huoni kuna shida hapa??? Huu ni udhaifu mkubwa sana ...hili bomu litalipuka very soooo.
 
Chukua udhaifu wa Kikwete na serikali ya awamu ya nne zidisha mara 3 utapata udhaifu wa Magufuli na serikali ya awamu ya tano

Nawaambieni hamuwezi kuvushwa na kiongozi dhaifu. Miaka mitatu imeisha kukiwa na jitihada kubwa za kuficha udhaifu.

Udhaifu unafichwa kupoka majukumu ya vyombo vingine. Udhaifu umefichwa kwa kupokonya na kujimilikidha bunge.

Udhaifu umefichwa kwa kuzuia watu kuongea,udhaifu umefichwa kwa kutisha kila anayenyanyua mdomo.

Udhaifu wa kudorora kwa mapato umefichwa kwa kunyanganya halmashauri vyanzo vya mapato.

Udhaifu wa kuonyesha kushukwa kwa uchumi umefichwa na kutishia kwenye sheria ya Takwimu.

Udhaifu wa kujua mambo ya kimataifa na huko mambele umefichwa kwa kisingizio ya rais hapendi kwenda nje kuokoa gharama

Udhaifu wa kukosolewa umefichwa........namlilia Tundu Lissu.
Mashairi ya mfa maji!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom