Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

Okay Sawa mkuu mbona mi wanangu kibao WA PRM Akina Kairo jamhuri , Samui Abdallah, lufuta, Amini Ally, Calvin kimasa na wengine kibao Waulize Tu Enock Mashauri watakuambia Munyama mukali Mimi.
Pamoja Kaka
 
Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwa Major General mmoja (jina kapuni) muda wowote kuanzia mwez wa tatu mzigo utatema.

Vjana anzeni kusaka mibuyu mapema mui set hasa wale wenye degree na diploma wanaotaka kuingia, nafac huwa ni chache. Ukisubiri zitoke ndo uanze michakato utaishia kuzickia kwenye bomba.
Jana Nlienda wilayan kulizia hiz mishe wakanambia kuanzia j3 nafas zinaweza kutoka.. mule wilayan kwnye room flan kuna wajeshi wanashughlka sijui na nin nkaingia kuuliza tena wakanambia kuanzia j3
 
Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwa Major General mmoja (jina kapuni) muda wowote kuanzia mwez wa tatu mzigo utatema.

Vjana anzeni kusaka mibuyu mapema mui set hasa wale wenye degree na diploma wanaotaka kuingia, nafac huwa ni chache. Ukisubiri zitoke ndo uanze michakato utaishia kuzickia kwenye bomba.
Kwanini siku hizi wahitimu kule TMA ni maluteni usu pekee?
 
Jana Nlienda wilayan kulizia hiz mishe wakanambia kuanzia j3 nafas zinaweza kutoka.. mule wilayan kwnye room flan kuna wajeshi wanashughlka sijui na nin nkaingia kuuliza tena wakanambia kuanzia j3
Tumuombe Mungu Mkuu.
 
Ahsanten kwa taarifa ila pia kumbuken mavazi ya kwenda kwenye hzo ofisi msiva jeans wala tshets...(just reminding you guys)
 
Kwanini siku hizi wahitimu kule TMA ni maluteni usu pekee?
Ilikuwa hivyo mwanzo ila ile nyingine ya Lutenu nilickia ilikuwa ni zawadi ya president Jakaya hapo kwa papo. Ila kwa sasa imerudi kama zamani wanahitimu Usu alafu nyingine wanapewa baada ya muda wale wastahiki (degree)
 
Jana Nlienda wilayan kulizia hiz mishe wakanambia kuanzia j3 nafas zinaweza kutoka.. mule wilayan kwnye room flan kuna wajeshi wanashughlka sijui na nin nkaingia kuuliza tena wakanambia kuanzia j3
Itakuwa chumba cha mshauri wa mgambo maana ndo wana deal na masuala ya jeshi.
 
Ilikuwa hivyo mwanzo ila ile nyingine ya Lutenu nilickia ilikuwa ni zawadi ya president Jakaya hapo kwa papo. Ila kwa sasa imerudi kama zamani wanahitimu Usu alafu nyingine wanapewa baada ya muda wale wastahiki (degree)
bado hujaeleweka vema mkuu.
 
bado hujaeleweka vema mkuu.
Kabla ya utawala wa JK ilikuwa hivyo afisa cardet pale TMA walikuwa wanahitimu kwa nyota moja (luteni usu) ila kwa taarifa nilizozipata kutoka ndani ya chombo, wakati wa rais JK alitoa ofa yeye kama amiri jeshi mkuu wale wa degree wapewe mawe mawili on spot i.e. moja akiitoa yeye kama amiri jeshi.

Lakini kwa kuwa ametoka (raisi JK) nahic utaratibu wa zamani waweza kurudi, kwa kawaida watapewa moja (wote watakuwa luteni usu) hawa cardet? alafu wa degree watatunukiwa ya pili baada ya muda fulani kuwa ma luteni kamili.
 
Kabla ya utawala wa JK ilikuwa hivyo afisa cardet pale TMA walikuwa wanahitimu kwa nyota moja (luteni usu) ila kwa taarifa nilizozipata kutoka ndani ya chombo, wakati wa rais JK alitoa ofa yeye kama amiri jeshi mkuu wale wa degree wapewe mawe mawili on spot i.e. moja akiitoa yeye kama amiri jeshi.

Lakini kwa kuwa ametoka (raisi JK) nahic utaratibu wa zamani waweza kurudi, kwa kawaida watapewa moja (wote watakuwa luteni usu) hawa cardet? alafu wa degree watatunukiwa ya pili baada ya muda fulani kuwa ma luteni kamili.
Ya pili hupatikana baada ya mda gan
 
Alf naskia maneno maneno kua kuingia pale TMA ni mbindw kweli, kuna ukweli wowote kwenye hili?
TMA nafac huwa zinatoka kwa wenye vigezo, kwa hiyo ukikidhi vigezo tu hakuna wa kukuzuia. Ishu ni kuingia jwtz. Lakni ukishaingia kule na una kidhi hakuna wa kukuletea mizengwe labda ukashindwe mwenyewe kule.
 
Back
Top Bottom