20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
Tatizo umekalilishwa, Kwanza kuna amri halali na ambazo sio halali, pia watoa amri na wakufunzi wana akili timamu so kila linalofanywa na kutendewa ni katika kukutoa uraia na kukutengeneza askari, hawajali hali Jeshini,hivi mtu mwenye akili timamu unataka kwenda jkt ili iweje kule kila kitu wazi afande ukiambiwa kula mavi wewe jibu wazi afande, kusema kweli jkt ni kupoteza muda kwanza jkt haitoi ajira lazima ujue hilo. una kaa jkt two yrs tehen unakosa ajira c utoto huo
pia hizo mnazo danganyan mtaani nyingi hazina ukweli.....kuna watu wamepiga kitabu hatari.