Zoezi huwa linagubikwa na Mambo mengi,mpaka shidaMhhhhh vijana taratibu hayo mambo msikate tamaa wenye sifa mtaenda kufanya kazi za watu
Hiv unajua maana ya baba kantuma? Naona kama unaitafsil tofaut hiv?Mkuu, awamu hii baba yako atakutuma tena?
Ahahahahahahahahaha, Mkuu mm nimeongea kwa utani ila hiyo kauli ya baba kantuma naielewa saaana.Hiv unajua maana ya baba kantuma? Naona kama unaitafsil tofaut hiv?
Ukitoka mwezi wa 3 ina maana kureport si mwez wa 7-8? Maana leo wakitangaza sasa watakaa siku kadhaa ili watume wasajili, bado majina kuchujwa n.kMzigo unaweza kushushwa Leo eti mbona kama Sielewi Kule kwa Website!!! I wish iwe hivo.
Nimeedit, soma tena.''Mwaka jana walitoa nafasi Juzi walitoa Nafasi Mwezi wa 12 ila usaili ukaanza mwezi wa pili, na kambini ikawa mwezi wa 6. ''
Fafanua vizuri mkuu mbona naona kama Kuna Utata vile kwenye Sentence hii .
Got you Mura MritoNimeedit, soma tena.
Kuanzia time hii mpaka siku 3 zijazo nafasi lazma zitoke..Mzigo unaweza kushushwa Leo eti mbona kama Sielewi Kule kwa Website!!! I wish iwe hivo.
Yeke Tata kana Tutasikia na Kuona .Kuanzia time hii mpaka siku 3 zijazo nafasi lazma zitoke..
Kwan kunakuwaga na tofauti gan ya muda, baada ya kutangaza nafasi mpaka kufikia zoezi la usahiri?''Mwaka jana walitoa nafasi Juzi walitoa Nafasi Mwezi wa 12 ila usaili ukaanza mwezi wa pili, na kambini ikawa mwezi wa 6. ''
Fafanua vizuri mkuu mbona naona kama Kuna Utata vile kwenye Sentence hii .
Daaaaaaaaah, aiseeeeee!!!JKT wamefunga website yao kwa muda, nahic watakuwa wanaweka tangazo la nafasi ya kujiunga mwaka 2016
Ngoja tuone kitatokea mimi mura tata