Na sijui hili jibu tulitoe wapiiiiNi swali ambalo wanajiuliza watu wengi... na thread nyingi zipo humu zinajadili hilo swali lako na mpaka leo jibu halijapatikana!!!
Maana yake ni nini?A
akale sumu
Kana Mura wee WA naniMaana yake ni nini?
Mkuu kuna sehemu sumu ni mboga kabisa, we nenda tu utaona.Maana yake ni nini?
Wee Una maana gani?Mtu asie na malengo pekee ndio ataenda huko labda kama wataka kuwa mlinzi wa SumaJKT
Mtu asie na malengo pekee ndio ataenda huko labda kama wataka kuwa mlinzi wa SumaJKT
Ila usaili utaanza lini?Kwa kuwasaidieni tu,jkt watachukua watu mwezi wa 7 after budget.
wee Ni Msemaji WA j.k.t au Ni NaniKwa kuwasaidieni tu,jkt watachukua watu mwezi wa 7 after budget.
Sawa Mkuu.siku yeyote nafasi zitatoka! inshu ni kusubiri tuu..
mkuu hawa vijana hawataki kuambiwa ukweli, time will tell.Kwa kuwasaidieni tu,jkt watachukua watu mwezi wa 7 after budget.