Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

Baadhi ya wadau wanasema zitatoka mwezi huu mwishoni.. msikatishwe tamaa na maneno ya watu! msichoke kuulizia...
 
Ni vyema kupta kwenye ofisi za mkuu wa mkoa kuna ofisi za mshauri wa mgambo for more information. ..
 
Kweli vijana nendeni kwa mshauri mgambo ndio mtapata maelezo yote na hata himu jf pia wapo wakubwa
 
hivi mtu mwenye akili timamu unataka kwenda jkt ili iweje kule kila kitu wazi afande ukiambiwa kula mavi wewe jibu wazi afande, kusema kweli jkt ni kupoteza muda kwanza jkt haitoi ajira lazima ujue hilo. una kaa jkt two yrs tehen unakosa ajira c utoto huo
ww utakua ulienda wa mujibu tena OP Iliopita maana mlikua waangushiaji
 
hivi mtu mwenye akili timamu unataka kwenda jkt ili iweje kule kila kitu wazi afande ukiambiwa kula mavi wewe jibu wazi afande, kusema kweli jkt ni kupoteza muda kwanza jkt haitoi ajira lazima ujue hilo. una kaa jkt two yrs tehen unakosa ajira c utoto huo
Sawa jkt hawaajiri ili vyombo vingine vya ulinzi na usalama hufanya usaili na huchukua wale waliofaulu usaili wao mfano police,magereza,jwtz,tanapa,uhamiaji n.k.
NB:Ajira utapata ila ndio utasota sana yahitaji uvumilivu na uzalendo katika kazi za watu
 
Simba Songea


Do you even listen to yourself? Did you even had second thoughts before saying this? I question your sanity

Next time, keep your absurd thoughts to yourself
 
hivi mtu mwenye akili timamu unataka kwenda jkt ili iweje kule kila kitu wazi afande ukiambiwa kula mavi wewe jibu wazi afande, kusema kweli jkt ni kupoteza muda kwanza jkt haitoi ajira lazima ujue hilo. una kaa jkt two yrs tehen unakosa ajira c utoto uo
Sawa Ndugu yangu wee usiepoteza Muda wako
 
hivi mtu mwenye akili timamu unataka kwenda jkt ili iweje kule kila kitu wazi afande ukiambiwa kula mavi wewe jibu wazi afande, kusema kweli jkt ni kupoteza muda kwanza jkt haitoi ajira lazima ujue hilo. una kaa jkt two yrs tehen unakosa ajira c utoto huo
kwenye msafara wa mamba na kenge wamo isitoshe wewe ni kenge usiye jielewa
 
hivi mtu mwenye akili timamu unataka kwenda jkt ili iweje kule kila kitu wazi afande ukiambiwa kula mavi wewe jibu wazi afande, kusema kweli jkt ni kupoteza muda kwanza jkt haitoi ajira lazima ujue hilo. una kaa jkt two yrs tehen unakosa ajira c utoto huo
Tatizo umekalilishwa, Kwanza kuna amri halali na ambazo sio halali, pia watoa amri na wakufunzi wana akili timamu so kila linalofanywa na kutendewa ni katika kukutoa uraia na kukutengeneza askari, hawajali hali Jeshini,
pia hizo mnazo danganyan mtaani nyingi hazina ukweli.....kuna watu wamepiga kitabu hatari.
 
Back
Top Bottom