Panzermeyer
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 471
- 325
Kuna mtu anasema kuna watu wana master na bachelor hawajawahi tia mguu TMA. Na hasa kwasababu ya technical reasons, kwamba, unakuta mtu ana miaka 27 wakati anaomba kwenda uko kwa mara ya kwanza. Sasa ikitokea amekosa, alfu ikatokea intake ijayo ametimiza miaka 28. Basi ndoto ya TMA inakua imekwenda na maji. Vipi kuhusu ili?TMA nafac huwa zinatoka kwa wenye vigezo, kwa hiyo ukikidhi vigezo tu hakuna wa kukuzuia. Ishu ni kuingia jwtz. Lakni ukishaingia kule na una kidhi hakuna wa kukuletea mizengwe labda ukashindwe mwenyewe kule.