Kingo Janta
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 319
- 262
Nafikili Inshu ya kupeleka maombi mpaka usaili inachukuaga mwezi mmoja.. sijui mwaka huu kuripoti itakua mwezi wa ngapi
Kureport lazima iwe miezi ya sita mwishoni au wa saba mwanzoni tu. Maana vijana wa mujibu wa kiadto cha sita, lazima wa wahi kupiga kozi kwa muda mfupi wa miezi mitatu, ili waweze maliza mapema na waweze kuwahi kujiunga na elimu ya vyuo vikuu mapema, mwezi wa 9. Lazima mda wa uzingatiweNafikili Inshu ya kupeleka maombi mpaka usaili inachukuaga mwezi mmoja.. sijui mwaka huu kuripoti itakua mwezi wa ngapi
Tumombe Mungu Sana maana bado hata sisi tuna safari ndefu mpaka Kufikia kutoboaDah! ndoto yangu imepotea, umri umenitupa mkono, miaka yangu 31 ni bora ningejiunga kabla sijaenda chuo, mtakao fanikiwa jengeni moyo wa uzalendo wa kweli kwa jeshi letu.
Brother?kwa upande wangu... bado sijaomba kwetu tangazo linatoka wiiki hii... naomba kujua waungwana ukiandika ndo unapewa form ya kujiunga? yaaani sijaelewa kuhusu barua na upatikanaji wa form
Naomba Unpm Mkuu.Format yq barua ya maombi hyo hapo ila hapo kwenye duara juu kulia ni anuani yako unaetuma
Utakubalika, peleka maombi.naomba kujuzwa ...kwa sasa nna umri wa miaka 23 na ifikapo mwez wa 6 tarhe za mwazon nafkisha miaka 24..kiwango cha elimu form 4...je nitakubalika kwel kwa kigezo chao cha umri mwisho 23 wa form 4s!!
sorry naomba maelekezo ya jinsi yakutuma maombi,.unaandika barua au inakuwaje...Utakubalika, peleka maombi.
Kaka Shefwaa aje aje brother ilala mpaka 20 Brother peleka Tu maombiWakuu ni kweli tarehe za kupeleka maombi zimesogezwa mbele mpaka tar 20? Hasa kwa dsm?
Hahaha wapi uko mkuu?Nashkuru Mungu Leo nimepeleka barua ..... Huku kwetu mwisho 20 kwa wenye shahada tupo 2 mpaka sasa
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Doh hawajanuna walivyoona umepeleka gambaNashkuru Mungu Leo nimepeleka barua ..... Huku kwetu mwisho 20 kwa wenye shahada tupo 2 mpaka sasa
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app