Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

Brother Nina Full CV kuanzia P/School Certificate mpk Gigi la University na Makando kando ya Mengine kama vile Lesseni ya Udereva na Computer Certificate, Labda Isiwe Bahati yangu Tu Kulitumikia Taifa Langu kupitia hiyo Kada.
Shkamoo!
 
Muda bado wa jaman bt Std 7 wanachukuliwa ushauri kwa wanaopenda kwenda jkt ni vyema ukawa na taaluma yako binafsi kwa mfano

Kwa walioishia Std 7 ni vyema ukawa na chet cha Taalum yoyote ambayo umethomea Veta
 
Niwaambie ukweli ndugu zangu kuna mambo pia ya nje ya uwanja ambayo ni mbinu mkakati za kupata nafasi sijui mmejipangaje? maana hata ukiona nafasi ni 70 jua kua 40 zina wenyewe tayari..! huu ni ukweli nimeamua tu niwadokeze
 
Niwaambie ukweli ndugu zangu kuna mambo pia ya nje ya uwanja ambayo ni mbinu mkakati za kupata nafasi sijui mmejipangaje? maana hata ukiona nafasi ni 70 jua kua 40 zina wenyewe tayari..! huu ni ukweli nimeamua tu niwadokeze
Daaah, aiseeee. Safari ni ndefu sana.
 
Wakuu katika masharti ya kujiunga hatakiwi mtu aliyewahi kupitia operations zilizopita za jkt je vipi kuhusu wale vijana wa kidato cha sita waliopitia jkt mujibu wa sheria???
 
Muda bado wa jaman bt Std 7 wanachukuliwa ushauri kwa wanaopenda kwenda jkt ni vyema ukawa na taaluma yako binafsi kwa mfano

Kwa walioishia Std 7 ni vyema ukawa na chet cha Taalum yoyote ambayo umethomea Veta
Mie cna ila mwaka jana niliomba bila hicho cha std 7 na wakaniita kwenye interview ila ckwenda mana nilikuwa mbali na mji
Na wewe hauna?
 
Niwaambie ukweli ndugu zangu kuna mambo pia ya nje ya uwanja ambayo ni mbinu mkakati za kupata nafasi sijui mmejipangaje? maana hata ukiona nafasi ni 70 jua kua 40 zina wenyewe tayari..! huu ni ukweli nimeamua tu niwadokeze
Mm nacheza nje
 
TANGAZO

C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg



Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, anawatangazia vijana wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea kwa mwaka 2016.

Barua zilizoainisha sifa za kijana kujiunga na mafunzo ya JKT zimetumwa kwa Waheshimiwa Wakuu wa mikoa. Mchakato wa zoezi la kuwapata vijana wenye sifa unaanza Aprili 2016 hadi tarehe 20 Mei 2016.

Sifa za mwombaji ni kama zifuatazo:-

1. Awe raia halisi wa Tanzania.

2. Umri. Kwa vijana wenye elimu ya Darasa la saba hadi kidato cha sita ni miaka 18 hadi 23.Vijana wenye elimu ya Stashahada umri ni miaka 18 hadi 26 na Vijana wenye elimu ya Shahada na kuendelea umri ni miaka 18 hadi 30.

3. Awe na afya njema, akili timamu.

4. Asiwe na alama yeyote ya michoro mwilini (Tattoo).

5. Mwenye tabia nzuri, hajapatikana na hatia Mahakamani na hajawahi kufungwa.

6. Kwa vijana waliomaliza elimu ya Sekondari kidato cha nne wawe waliomaliza kuanzia mwaka 2010, 2011, 2012, 2013 na 2014 wenye ufaulu ufuatao:-

(a) Waliomaliza 2010 hadi 2012 wawe wamefaulu na wawe na alama (Points) zisizopungua 32.

(b) Waliomaliza 2013 wawe wamefaulu na wawe na alama (Points) zisizopungua 38.

(c) Waliomaliza 2014 wawe wamefaulu na wawe na GPA isiyopungua 0.6.

7. Awe na elimu ya msingi aliyehitimu darasa la saba.

8. Awe na cheti halisi cha kuzaliwa (Original Birth Certificate).

9. Awe na cheti halisi cha kumaliza shule (School Leaving Certificate)

10. Awe na cheti halisi cha matokeo (Original Academic Certificate/Transcript).

11. Asiwe ametumikia Jeshi la Polisi, Magereza, Chuo cha Mafunzo au KMKM wala kuajiriwa na Idara nyingine Serikalini.

12. Asiwe amepitia JKT Operesheni za nyuma.

13. Asiwe amejihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya, bangi na yanayofanana na hayo..


Waombaji wenye sifa wapeleke maombi yao kwa Waheshimiwa wakuu wa mikoa. Makao Makuu ya JKT hayatapokea na hayapokei maombi yoyote, kwa vijana watakaoomba nafasi hizo wazingatie maelekezo yatakayotolewa kuepuka usumbufu.



Imetolewa na:

Kurugenzi ya Habari na Uhusiano

Makao Makuu ya JKT

Tarehe 05 Aprili 2016
 
Back
Top Bottom