Panzermeyer
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 471
- 325
Hongera zako bhana. Naona unateleza tu
Hongera zako bhana. Naona unateleza tu
Vipimo vya nini?Hapa kazi tu hakuna kulala kinondoni kesho SAA 04:00 Alfajiri kwaajili ya vipimo
Ndo hali halisi ilovyo mkuu, ni mkoa gani upo na vipi kwa Form 6 nw Diploma?Nashkuru Mungu Leo nimepeleka barua ..... Huku kwetu mwisho 20 kwa wenye shahada tupo 2 mpaka sasa
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mikoani watu wanateleza tu Mkuu, Dar es Salaam ndo ushindani ni mkubwa mno.Hongera zako bhana. Naona unateleza tu
Ngoja niwahi tiketi ya kwenda mkoaMikoani watu wanateleza tu Mkuu, Dar es Salaam ndo ushindani ni mkubwa mno.
Unawatumia kwenye WhatsAppsorry naomba maelekezo ya jinsi yakutuma maombi,.unaandika barua au inakuwaje...
Hapana Mkuu! Hivi unajua ni wangapi wanazaliwa Dar na asili yao sio wa Dar? Hizi nafasi hazinngalii umezaliwa wapi, labda wakufanyie figisu ili kunusuru nafasi za watu wao wa karibu ila hamna uhusiano wowote ule kati ya mkoa uliozaliwa na unapoombea ndo maana hata kwenye vigezo haijaorodheshwaWe kama hukuzaliwa dar.....itakua ngum kupata nafasi ....labda kama unacheza rafu...... Hizi nafasi zinatoka kila mkoa ila wazawa waombe sasa wewe unatokea kasulu afu unaombea dar matokeo yake ni nini?..... Itakua kama mkulima kapanda maindi na anataka avune mpunga!!!! Jamani ushauri wangu rudini kwenu muombe nafasi tena mtazipata bila kugusa mifuko..,.. Nyote mking'ang'ania dar mtaumia wala si utani
Kweli hawajasema kwenye vigezo lakini kwenye utendaji wanafuata ivyo wakati mwingineHapana Mkuu! Hivi unajua ni wangapi wanazaliwa Dar na asili yao sio wa Dar? Hizi nafasi hazinngalii umezaliwa wapi, labda wakufanyie figisu ili kunusuru nafasi za watu wao wa karibu ila hamna uhusiano wowote ule kati ya mkoa uliozaliwa na unapoombea ndo maana hata kwenye vigezo haijaorodheshwa
We kama hukuzaliwa dar.....itakua ngum kupata nafasi ....labda kama unacheza rafu...... Hizi nafasi zinatoka kila mkoa ila wazawa waombe sasa wewe unatokea kasulu afu unaombea dar matokeo yake ni nini?..... Itakua kama mkulima kapanda maindi na anataka avune mpunga!!!! Jamani ushauri wangu rudini kwenu muombe nafasi tena mtazipata bila kugusa mifuko..,.. Nyote mking'ang'ania dar mtaumia wala si utani
Hapana Mkuu! Hivi unajua ni wangapi wanazaliwa Dar na asili yao sio wa Dar? Hizi nafasi hazinngalii umezaliwa wapi, labda wakufanyie figisu ili kunusuru nafasi za watu wao wa karibu ila hamna uhusiano wowote ule kati ya mkoa uliozaliwa na unapoombea ndo maana hata kwenye vigezo haijaorodheshwa
Kwa kidato cha Nne je?Mkuu sasahivi wanabana sana licha ya hapo dar hata huku mikoani.
ubarikiwe!..nipe no yao bila shaka utakua nayo na ingekua vizur unipe ile ya 0712 ....Unawatumia kwenye WhatsApp
Hayo mambo katka jesh la tz hayapo nenda,kwa obamaubarikiwe!..nipe no yao bila shaka utakua nayo na ingekua vizur unipe ile ya 0712 ....
thankx