Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

Mkoa wa dar wilaya ya ilala kaka nlkuwa ofisin kwao leo saa tano ndo tqarifa wamenpa na maelezo jinsi ya kuandka barua hyo maana lazma iptie kwa mtendaj kata na mwenye kiti wa serikal za mtaa wako
Kaka unaweza ukani/ukatujuza maelekezo ya io barua jinsi ya kuandika na vitu gani vinatakiwa kutoka kwa serikali ya mtaa
 
Naomba kuuliza unarusiwa mtu kuomba izi nafasi zaidi ya wilaya moja
 
Ni kweli nafasi za JKT zimeshatangazwa japo Kuna baadhi ya Wilaya bado hawajapata barua za maelekezo,

Kumbukeni kuwa na vyeti halisi vya elimu(original academic certificate and school leaving certificate) kikiwemo na Cheti cha elimu ya msingi, ni muhim mno hiki Cheti cha std VII hata kama una degree lakini Cheti cha std vii ni muhim kuwa nacho!

Nawatakia kila la heri vijana,
Apo kwenye cheti cha standard 7 ndo kwenye tatizo
 
We jamaa nakuona sana humu ndani JF masaa yote 24, wewe nawe ni Jobless tu kama vijana wanaosubiri nafasi za JKT humu ndani.
Wengine tunaenda huko kwa mapenzi yetu kabisa na tunaipenda hiyo kazi. J3 njoo TPB tawi la Metropolitan (Ukifika pale Posta kwenye yule Askari kwa pembeni utaona hiyo TPB) Ingia ndani, kisha kunja kushoto, tembea kidogo utatazamana na Credit Department, achana na ya kwanza njoo ya pili yake. Utamkuta kijana wa kiume na binti mwingine wa kike mweupe, huyo wa kiume ndo mimi.
Usifikiri kila anayekwenda JKT hana cha kufanya, wengine wana mipango wa kutimiza ndoto zao, kuna watu wana ndoto za Usalama wa Taifa, Polisi, JWTZ n.k hawezi kusitisha kupigania ndoto yake eti kisa waombaji ni wengi.
Nimekujibu hivi maana naona unawakomalia sana watu wanaotaka kuingia JKT 2016, ni vema ukakaa kimya na ukawaacha kama walivyo maana hatuwezi kukata tamaa kwa maneno yako.
achana nae huyo ukute bado anakula jasho la baba yake
 
Katika vyeti vyotee.. cheti cha kuzaliwa na cheti cha darasa la saba ni muhimu sanaa kwa hatua ya awali, kwenye kuandika barua ya maombi kama hujui namna ya kuandika bora utafute wajuzi wanao fahamu vizuri wakuelekekeze... mana barua ya maombi ina hatua zake
 
2566f8dcec21b9e7916a33c8f21dd1a3.jpg
naomba msaada wenu huyu mdudu anaoywaje
 
Kuna kiumbe frain iv aliandika na kupost barua eti nafath zinatoka tar 16 mwez 4 thatha thijui ni kwer
 
je kwa tulio ishia la 5 then tukaenelea form one na chet cha kuzaliwa, olevel, alevel na chuo ...watazingua hicho cha primary?
 
Kazi nyingine bhana eti cheti cha Primary duu hivi huwa kuna vyeti vya Primary?
 
Kazi nyingine bhana eti cheti cha Primary duu hivi huwa kuna vyeti vya Primary?
Ndiyo Mkuu, Kipo Cheti Cha Shule ya Msingi Kile kinachothibitisha Kwamba Ni Kweli Fulani alihitimu Shule ya Msingi ( Std 7) kabla ya kujiunga na Elimu ya Upili( Elimu ya Sekondari).
 
Back
Top Bottom